The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,849
Dawa za asili tu malimao tangawizi kitunguu saumu na kujifusha, japo kwa sasa nimesimama mafusho baada ya kupata nafuu.We unatumia dawa gan
Dawa za asili tu malimao tangawizi kitunguu saumu na kujifusha, japo kwa sasa nimesimama mafusho baada ya kupata nafuu.We unatumia dawa gan
Unajua mawazo muda mwingine hayakwepi imagine kuna mtu kukosa kunusa siku mbili tu hofu inamjaa sasa mie ambae ni week ya tatu sinusi wala sipati ladha ya chakula napokutana na ujumbe kama huo kuna namna kichwa inawaza mkuu [emoji23][emoji23]Endelea kutumia dawa na mazoezi mungu atakusaidia Wala usiwe na mawazo
Unachukua mchaichai, majani ya muembe, majani ya mvumbasi, majani ya mpera, majani ya mdimu, muarobaini, maganda ya limao, unachanganya unaweka kwenye moto mpk yachemke unachukua shuka unavua shati unajifunika na hiyo sufuria yenye huo mchanganyiko kwa dk 10 huku mdomo umeacha wazi na macho umefumba, pia unakuwa na mwiko kwa ajili ya kugeuza geuza pindi mvuke unapopungua, unafanya kwa siku mara mbili kwa siku kadhaa utaona mabadiliko.Asante nieleweshe mafusho ni nini? Toka mwanzo wa uzi nakutana na neno mafusho ni nini hiki mkuu. Hapo kwenye malimao tangawizi kitunguu saumu nachanganya na blendi nakunywa kama juice ama
Sawa kabisa nimekupata mkuu, nimefikiria na kufanya mazoezi walau nikimbie km hata mbili naporudi nafanya mafusho. Asante sana kwa muongozoUnachukua mchaichai, majani ya muembe, majani ya mvumbasi, majani ya mpera, majani ya mdimu, muarobaini, maganda ya limao, unachanganya unaweka kwenye moto mpk yachemke unachukua shuka unavua shati unajifunika na hiyo sufuria yenye huo mchanganyiko kwa dk 10 huku mdomo umeacha wazi na macho umefumba, pia unakuwa na mwiko kwa ajili ya kugeuza geuza pindi mvuke unapopungua, unafanya kwa siku mara mbili kwa siku kadhaa utaona mabadiliko.
Ni kweli ila nilichojifunza mawazo ndio changamoto kubwa inatutesa hususan ukijiona unadalili hizi ila naamini utaakaa sawa tu sijajua unatumia dawa gan ila mazoezi pia jitahidi ili kuzifanya Neva ziamkeUnajua mawazo muda mwingine hayakwepi imagine kuna mtu kukosa kunusa siku mbili tu hofu inamjaa sasa mie ambae ni week ya tatu sinusi wala sipati ladha ya chakula napokutana na ujumbe kama huo kuna namna kichwa inawaza mkuu [emoji23][emoji23]
Pia chukua tangawizi na kitunguusaumu vilivyosagwa changanya na pilipili mtama chemsha pamoja kisa chuja changanya na limao na asali kunywa siku Mara mbili utakuja kunishukuruSawa kabisa nimekupata mkuu, nimefikiria na kufanya mazoezi walau nikimbie km hata mbili naporudi nafanya mafusho. Asante sana kwa muongozo
Hii situation nilipitia kama weak mbili nyuma iv ila saiv niko vizurpole sana mkuu wangu..naomba nikuulize maswali machache
●je hupati homa?(mwili kuchemka)
●Je hujaugua mafua au kikohozi hivi karibuni?...
so kimepona chenyewe kwa msaada wa dawa au ulienda hospital mkuu.Kifua kilikua kinabana pumzi
Kuna post nimeandika dawa ambazo nilitumia kwa muda wa kama week mbili hivi, nikaweka na maelezo mengine. Nilitumia Azithromycin, cetrizine long, vidonge fulani sivikumbuki jina ni vya chenga chenga hivi. Nikapewa dawa ingine emisol nasal spray sijui kama nimepatia jina lake.Ni kweli ila nilichojifunza mawazo ndio changamoto kubwa inatutesa hususan ukijiona unadalili hizi ila naamini utaakaa sawa tu sijajua unatumia dawa gan ila mazoezi pia jitahidi ili kuzifanya Neva ziamke
BUYEGI ambayo ni mafuta teteUnachukua mchaichai, majani ya muembe, majani ya mvumbasi, majani ya mpera, majani ya mdimu, muarobaini, maganda ya limao, unachanganya unaweka kwenye moto mpk yachemke unachukua shuka unavua shati unajifunika na hiyo sufuria yenye huo mchanganyiko kwa dk 10 huku mdomo umeacha wazi na macho umefumba, pia unakuwa na mwiko kwa ajili ya kugeuza geuza pindi mvuke unapopungua, unafanya kwa siku mara mbili kwa siku kadhaa utaona mabadiliko.
dawa gani mkuu nisaidie nijue.Dawa nilizokua natumia pamoja na vimazoezi mkuu
Hili tatizo kwasasa lipo serious snaa inabidi tu tuasaidiane dawa za asili nilizotumia mim ni Kama ifuatavyo.dawa gani mkuu nisaidie nijue.
harufu kali ikitoka na makohozi au mafua ni covid. maana kuna kipindi nyuma hapo nilikwenda KCMC kumuona mgonjwa wa korona na barakoa nilikua nimevaa kitozi nilikumbwa na hiyo hali na homa kali nikawa natumia Action kila siku mpaka nikaja kukaa sawa.Halafu kuna harufu fulani kali sana unaisikia inatoka kinywani ikiambatana na makohozi ...???
Halafu kuna harufu fulani kali sana unaisikia inatoka kinywani ikiambatana na makohozi ...???