Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Last month nimepoteza simu-Sumsung, sasa niliifnyia tracking system. Leo kitu kimejibu nimetumiwa namba ya simu anayotumia na IMEI namba yake.(Nilivyosearch nikaona na jina lake anaitwa SALEHE CHUWA anatumia mtandao wa tigo) Baada ya kufikiri way to do nikaamua kumpigia simu baada ya kujitambulisha na kila kitu nikamwambia kwamba hiyo simu anayotumia ni ya kwangu. Akakata akasema ye hatumii samsung na anatumia TECNO na yupo morogoro(Mi nilimwambia niko dar ingawa simu nilipoteza nipo Arusha).
Sasa nimepanga kesho nimpigie tena nimsisitize airudishe hiyo simu...so naomba ushauri nifanye kipi? Manake nafikiri kama ataendelea kugoma kuirudisha basi niende tigo office nikaripoti ili ifungiwe kabisa. What is the advice wadau.
Sasa nimepanga kesho nimpigie tena nimsisitize airudishe hiyo simu...so naomba ushauri nifanye kipi? Manake nafikiri kama ataendelea kugoma kuirudisha basi niende tigo office nikaripoti ili ifungiwe kabisa. What is the advice wadau.