Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Mimi nimepata bahati ya kuitwa kwenye Interview ya shirika la Umeme Tanzania ila kinachonitatiza ni endapo nitaulizwa maswali yanayohusiana na utendaji kazi wao wa kila siku. Sababu sijawahi fanya nao kazi ila elimu yangu ya maswala ya Umeme ilinifanya niapply huko, kwa hiyo kwa mwenye kuweza kunipa mwongozo na nimeapply katika position ya lineman