Hakuna namna ambayo tunaweza kujua mwizi ameweka laini ipi kwenye ile simu?
Imei namba nnayo pamoja na email ya simu!!
Wataalamu karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh sio kwamba fidia zote lazima alipe mkutwa na mali ya watu.
Inawezekana, tatiz ni kama atakua kabadili imei ya simu maana zinabadilishwa pia.Hakuna namna ambayo tunaweza kujua mwizi ameweka laini ipi kwenye ile simu?
Imei namba nnayo pamoja na email ya simu!!
Wataalamu karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kumtisha, huyo mkutwa na simu ni anamakosa kisheria hakuna cha vitisho wala nn, sheria ni kweli inamuhukumu.Sasa polisi wakimkamata hayo ma fidia wanakula wao kwa kumtisha kuwa simu imeibiwa na mtu alieibiwa kakutwa kafa hivyo atoe hela za kutosha ilj msala umuepuke.
POLICE NJAA JITAFAKARINI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa comment yako mkuu,umesema niende kitengo Cha cyber ila umesema wale wa kitengo wakiipata hawatanipa, Kama ni hyo Kuna sababu gani ya kwenda?
Hakuna utalamu wa kujua huyu mwizi wangu ameweka laini ipi kwa simu yangu? Nikishaipata tu namba ya mwizi tayari mchezo utakuwa umeisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi kwa kutumia kitengo cha CYBER wanauwezo wa kuona mpaka line mpya itakayokuwa imeingizwa kweny hiyo simu,cha muhimu pia ni kuwapigia customer care wa mitandao ya line zilizokuwepo kwenye hiyo simu ili wazifunge kwa muda wakati wewe ukiendelea kuifuatulia simu yako...
Najua kuna uzembe maana hata hao wanaobadilisha hizo IMEI walipaswa kufuatiliwa na kukamatwa kwakuwa ni kosa kubadilisha hizo IMEI,kiukweli ni kuwa bado kuna mapungufu makubwa kwenye hiki kitengo...Skuizi simu ikiibiwa,inabadlishwa imei fasta shughul imeisha...hao police jamaa akienda atapoteza mda na pesa yake tu...Hiki kitengo bado changamoto kwa raia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vijana wa kitengo cha cyber ni janga sana mkuu wanauzi wanakera sanaNenda polisi kuna kitengo cha CYBER sema wale mbwa wakiipata hawairudishi kwako wanakula hela ya kukufanyia kazi then wanakula hela ya mtu aliekamatwa nayo kwa kumsingizia siku ya kuibiwa simu kulikuwa na laptop ya kiasi cha sh 1.9mil yaani in short walitakiwa waisaidie jamii sema wale mbwa wamekuwa tatizo kwenye jamiii.
NINAO USHAHIDI NATAMANI NIWATUKANE SEMA NITEGEMEA MTEGO WAKAJUA MIMI SIO JINGA LAO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo napozipendea nchi za wenzetu huko ulaya,kwa kuwa na mashirika binafsi ya kijasusi na kipelelezi SHIDA HIZI ZA URASIMU WALIKUWA NAZO HUKO ZAMANI LAKINI BAADA YA TAASISI HIZI BINAFSI KUANZISHWA MAMBO YAKAWA SWAAFII KABISA.PIA MASHIRIKA BINAFSI HUWA NA UWAZI ZAIDI.Nenda polisi kuna kitengo cha CYBER sema wale mbwa wakiipata hawairudishi kwako wanakula hela ya kukufanyia kazi then wanakula hela ya mtu aliekamatwa nayo kwa kumsingizia siku ya kuibiwa simu kulikuwa na laptop ya kiasi cha sh 1.9mil yaani in short walitakiwa waisaidie jamii sema wale mbwa wamekuwa tatizo kwenye jamiii.
NINAO USHAHIDI NATAMANI NIWATUKANE SEMA NITEGEMEA MTEGO WAKAJUA MIMI SIO JINGA LAO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli wanaumiza sanaAcha kupoteza muda, bora ufanye mambo mengine maana uwezekano wa kuipata ni mdogo sana pengine 0.0001
Polisi watakusumbua na mwisho wa siku hutapata simu yako, nina ushahidi nilipoteza simu yangu mwaka jana July , kwa jitihada nilizoweka ningeshapata.
Wale jamaa wapo kwa manufaa yao sio manufaa ya kusaidia jamii, wanaosaidia jamii ni wachache sana wengi wao ni matumbo yao tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakera sana hawa vijana hatari mkuuSasa polisi wakimkamata hayo ma fidia wanakula wao kwa kumtisha kuwa simu imeibiwa na mtu alieibiwa kakutwa kafa hivyo atoe hela za kutosha ilj msala umuepuke.
POLICE NJAA JITAFAKARINI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinakera sana hiki kitengoSkuizi simu ikiibiwa,inabadlishwa imei fasta shughul imeisha...hao police jamaa akienda atapoteza mda na pesa yake tu...Hiki kitengo bado changamoto kwa raia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizani Kama atakuwa na Hilo wazo la kubadili IMEI namba,naomba unisaidie huo ujanja wa kuipata mkuu!!Inawezekana, tatiz ni kama atakua kabadili imei ya simu maana zinabadilishwa pia.
Asante kwa comment yako mkuu,Nifundishe kuitrace mkuu!!Kanunue nyingine.
Mwenzako anaweza kifaa kuuza kimoja kimoja.
Utasumbuka bure au anaweza kuizima asiwashe miezi sita.
Utatrace vipi?
Mimi walinipiga 80..sema kupatikana kwa simu yangu nilishukuru.Nenda polisi kuna kitengo cha CYBER sema wale mbwa wakiipata hawairudishi kwako wanakula hela ya kukufanyia kazi then wanakula hela ya mtu aliekamatwa nayo kwa kumsingizia siku ya kuibiwa simu kulikuwa na laptop ya kiasi cha sh 1.9mil yaani in short walitakiwa waisaidie jamii sema wale mbwa wamekuwa tatizo kwenye jamiii.
NINAO USHAHIDI NATAMANI NIWATUKANE SEMA NITEGEMEA MTEGO WAKAJUA MIMI SIO JINGA LAO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda polis, wake hiyo IMEI ,au hata km umepoteza IMEI..wape namba yako ya simu.