Msaada: Nimegundua baba mkwe ni mchawi

Msaada: Nimegundua baba mkwe ni mchawi

Anaitwa contagious naye contagious of uchawu
 
Kama uchawi wake hauna madhara yoyote kwako endelea na ndoa yako sababu mume hana makosa wala hausiki. Familia itakayojengwa na watoto ni kati yako wewe na mume wako baba mkwe hausiki.

Zamani wazee wakitaka kuchumbia na kuoa wanaufuatilia ukoo wote na tabia zao: vitimbi vikizidi vya baba mkwe hama mji wewe na familia yako lakini usimuache mume wako
 
Huwezi kumjua mchawi bila na wewe kuwa mchawi hata kuamini katika uchawi ndio maana wanaoamini katika Mungu hakika wa naamini uwepo wa Mungu na pepo na mchawi kwao hana nafasi
 
Hauwezi kuishi kwa kutoa siri za Mkwe wako tena kwa kumsingizia kwa sababu hakuna proof ya Uchawi.
Siri, kuwa makini sana na siri, ukificha maradhi lazima utakufa nayo, aibu haidumu, kwanini tuliambiwa tusiabudu miungu mingine kama uchawi haupo? Wao wapo jukumu letu kutowaamini nguvu zao na hapo ndipo hawawezi kutudhuru, uwepo wao upo.
 
Naomba nianze na swali ........umegunduaje?
Nimeelezwa na wenyewe baada ya baadhi ya mambo kutokea, series ya mambo kwa hakika, nikisema wenyewe namaanisha baadhi ya memba wa familia, ilitokea jambo katika kulitatua kwao wakataka kujimlisha mimi, katika kushangaa ndio nikatolewa upofu.
 
Back
Top Bottom