maege JF-Expert Member Feb 25, 2012 309 73 Apr 16, 2012 #1 jamani naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kuchakachua (itumie line zaidi ya moja) modem ya airtel coz gharama zao za net zimepanda sana.
jamani naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kuchakachua (itumie line zaidi ya moja) modem ya airtel coz gharama zao za net zimepanda sana.
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Apr 17, 2012 #2 taja ni aina gani, model number na imei number tuone kama utaweza kusaidiwa ukiwa hukohuko