Habari zenu wanajamii Forum..
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama SAP ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance
Mimi nimeajiriwa na kampuni moja ya private (manufacturing) kama ASSISTANT ACCOUNTANT na kwa sasa nina muda wa kama mwaka mmoja na miezi kadhaa hivi, Ila sina aman na hapa ninapofanyia kazi, sio kwamba wananinyanyasa la hasha lakini binafsi moyo wangu hauna aman ya kufanya kazi mahali hapa,..
Nlikua naomba kama kuna campuni au shirika au sehemu yeyote yenye nafasi ambapo naeza kufanya kazi kama ACCOUNTANT please wasialiana nami pm! Kuhusu elimu Nina degree (Bcom Accounting) na ninajiandaa kuchua masomo ya cpa! naomba anaeweza kunisaidia. Ninaweza kutumia accounting Packages kama SAP ERP, Votebook, Sage 300 na Tally Erp 9
Thanks in Advance
