Msaada: Nikiwa na mwanamke uume unasinyaa

Msaada: Nikiwa na mwanamke uume unasinyaa

shabaan Dogo

Senior Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
196
Reaction score
82
Naombeni msaada ndugu zangu na sio masihara nikiwa na mwanamke uume hausimami kabisa unasinyaa na kubakia kichwa tu imenitokea hiyo hali mara mbili naombeni msaada na uume unapo simama haukazi sawa sawa unalegalega.
 
Naombeni msaada ndugu zangu na sio masihara nikiwa na mwanamke uume hausimami kabisa unasinyaa na kubakia kichwa tu imenitokea hiyo hali mara mbili naombeni msaada na uume unapo simama haukazi sawa sawa unalegalega.
Kitaa hapasomeki mkuu, hizo zitakuwa stress.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jichunguze unapokuwa katika hilo eneo mapigo yako ya moyo huwa yanadunda kwa Kasi sana..? Kama yanaongezeka kwa Kasi sana jua unahofu! Mcheki mwanasaikolojia.
 
Hiyo ni hofu..mazingira yanachangia pia..jitahidi kwanza uwe na uhakika wa usalama wa mazingira..pia relax usihofu wala kukamia sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lete taarifa. Muhimu

Umri wako,
Uzito wako
Unafanya kazi gani
Mahusiano yako ya zaman na mliachana achana vipi
Je umeshawahi kupiga masta kiasi gani

Taarifa hizi zitasaidia kukupa ushauri
 
Jichunguze unapokuwa katika hilo eneo mapigo yako ya moyo huwa yanadunda kwa Kasi sana..? Kama yanaongezeka kwa Kasi sana jua unahofu! Mcheki mwanasaikolojia.
ukweli mapigo ya moyo yanakua juu sana na hata ninapo jitahidi kurilax nakua kama najifanyisha
 
ukweli mapigo ya moyo yanakua juu sana na hata ninapo jitahidi kurilax nakua kama najifanyisha
Hilo ndo tatizo unahofu Sana Kama na kujichua unafanya acha mara moja inakufanya unakua unahofu siku unapokutana na real..
 
Naombeni msaada ndugu zangu na sio masihara nikiwa na mwanamke uume hausimami kabisa unasinyaa na kubakia kichwa tu imenitokea hiyo hali mara mbili naombeni msaada na uume unapo simama haukazi sawa sawa unalegalega.
Hofu ya kutojiamini
 
Kula ushibe then lipa madeni ya watu uache kuishi kwa wasiwasi
Tafuta demu mkali wengine hawasisimui kabisa yaani utakiwa ukiona paja tu ngoma inanepa kimtind
 
Lete taarifa. Muhimu

Umri wako,
Uzito wako
Unafanya kazi gani
Mahusiano yako ya zaman na mliachana achana vipi
Je umeshawahi kupiga masta kiasi gani

Taarifa hizi zitasaidia kukupa ushauri
umri 34 yrs
kl 67
kazi biashara
ni kama miezi mitatu au minne ndo tumetengena na mpnz wangu tulitaka kuowana lkn familia yake haikunikubali mimi,
ukweli iliniuma sana na hadi sasa nikimkumbuka naumia sana kweni wali mtafutia mtu na karibia anaolewa ,
kujichua hapana zamani sana kipindi cha balehe,
sijawa na mwanamke pamanent hali hiyo imenikuta tu ni wana wake tu kitaani
 
umri 34 yrs
kl 67
kazi biashara
ni kama miezi mitatu au minne ndo tumetengena na mpnz wangu tulitaka kuowana lkn familia yake haikunikubali mimi,
ukweli iliniuma sana na hadi sasa nikimkumbuka naumia sana kweni wali mtafutia mtu na karibia anaolewa ,
kujichua hapana zamani sana kipindi cha balehe,
sijawa na mwanamke pamanent hali hiyo imenikuta tu ni wana wake tu kitaani
Shida hapo ni msongo wa mawazo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom