Ni lazimaJamani ivi nikiwa nafanya application za chuo kikuu,nikiwa natumia cheti cha diploma ya elimu,lazma nipate award verification number kutoka nacte,?
Yeah ni lazimaJamani ivi nikiwa nafanya application za chuo kikuu,nikiwa natumia cheti cha diploma ya elimu,lazma nipate award verification number kutoka nacte,?
Huo ujumbe walinitumia kwelUkilog in NACTE - NAVS utaona Dashbord inadesplay Masaa nadhani yanaanza na 120Hrs (Sawa na siku 5) halafu pana ujumbe kwa lugha ya Kimalkia unasema 'Utajuilishwa kupitia Email au Namba ya Simu ndani ya Masaa 120'.
Hivyo vyo kuwa mstahamilivu na subiri muda tajwa wa Siku 5 tokea ulipolipia na kujisajili.
Wajuz njoon,mnisaidie,diploma ya elimu award verification number,niitoe wap?,nahtaj kuaply chuo
Mimi nimeapply tarehe 17 na nimepata siku hiyo hiyo bure bila malipo yoyote.Mimi nlipambana nayo sana last year, ila kwa exprience nlitoipata ni kwamba ukiona inakusumbua kupata mtandaoni au inachelewa the ni bora ufike ofisi za NACTE makao makuu, pale ni kwa haraka sana, Ahsante
Si huwa inalipiwa 10kMimi nimeapply tarehe 17 na nimepata siku hiyo hiyo bure bila malipo yoyote.
Mimi nimeapply tarehe 17 na nimepata siku hiyo hiyo bure bila malipo yoyote.
Ofsin zao kwa kanda ya ziwa ziko wapMimi nlipambana nayo sana last year, ila kwa exprience nlitoipata ni kwamba ukiona inakusumbua kupata mtandaoni au inachelewa the ni bora ufike ofisi za NACTE makao makuu, pale ni kwa haraka sana, Ahsante