Msaada: Niifanyeje hii NOKIA N70?

Msaada: Niifanyeje hii NOKIA N70?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
Wadau hiki kimeo changu nikikiwasha, kinachukua mpaka dakika 5 kuanza kuoperate. Tatizo linaweza kuwa nini na nifanyeje ili irud ktk hali ya kawaida.?
 
Kama ina memory card itoe na jaribu kuwasha, kama itawaka ndani ya muda mfupi tatizo litakuwa kwenye hiyo memory card. Na iwapo tatizo la kuchelewa litaendelea ifanyie Factory Reset hiyo simu yako. Na vile vile usipende kutunza msg nyingi kwenye inbox kwa muda mrefu.
 
hilo ni tatizo la kawaida la N70 na pacha wake N72 ktk kuchelewa kuwaka.
Lakini kama inachukua hadi dk 5.
Hiyo ni ya kureset to factory settings. Na uache application chache unazozitumia tu.
Pia unaweza uka download netqin antvirus ili kuiprotect na viruses.
 
ina virus hiyo wapelekee jamaa wa nokia wakaiflash kama bado unaipende au kama vipi nunuaq ipad
 
Utakuwa umejaza ma applications kwenye phone memory hebu jaribu ku delete ma files uliyodownload.
 
ina virus hiyo wapelekee jamaa wa nokia wakaiflash kama bado unaipende au kama vipi nunuaq ipad

Mkuu ngoja nikuulize kizenji, hivi zipo ipad used? Sisi Zenji tushajizoelea kila kitu used mpaka kucheka kiused used tehe tehe tehe tehe tehe.
 
wakuu, na mimi nina ka kimeo kama hako ka kwako na nahitaji kukaunganisha niwe napokea email bila kuingia yahoo kwanza, ni fanyeje?
 
Wadau hiki kimeo changu nikikiwasha, kinachukua mpaka dakika 5 kuanza kuoperate. Tatizo linaweza kuwa nini na nifanyeje ili irud ktk hali ya kawaida.?
Bonyeza *#7370#lakini uchomoe memory card coz itafuta kila kitu ila itamaliza hilo tatizo!!
 
Back
Top Bottom