tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Wadau hiki kimeo changu nikikiwasha, kinachukua mpaka dakika 5 kuanza kuoperate. Tatizo linaweza kuwa nini na nifanyeje ili irud ktk hali ya kawaida.?
ina virus hiyo wapelekee jamaa wa nokia wakaiflash kama bado unaipende au kama vipi nunuaq ipad
Bonyeza *#7370#lakini uchomoe memory card coz itafuta kila kitu ila itamaliza hilo tatizo!!Wadau hiki kimeo changu nikikiwasha, kinachukua mpaka dakika 5 kuanza kuoperate. Tatizo linaweza kuwa nini na nifanyeje ili irud ktk hali ya kawaida.?