Msaada: Nifanyeje niache uzinzi?

Msaada: Nifanyeje niache uzinzi?

Buj

Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Nina uhusiano wa kimapenzi na wasichana Wawili na kunamwingine bado namfuatilia lakini natamani niache ujinga huo ukizingatia nina mke na watoto, ila nimeshindwa.

Huwa naamua kuwa kuanzia sasa basi sitaki tena, baadae nikikutana na mmoja wao naanza yale yale au wakati mwingine akinipigia simu mmoja wao najikuta nimeingilika.

Nisaidieni niachane na uchafu huo maana nimeufanya sana ila sijaona faida yake tena kuna mmoja yeye anataka aliwe ndio nazidi kuchanganyikiwa na hana shida kivile na hela yangu. Msaada waungwana.
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na wasichana Wawili na kunamwingine bado namfuatilia lakini natamani niache ujinga huo ukizingatia nina mke na watoto, ila nimeshindwa.

Huwa naamua kuwa kuanzia sasa basi sitaki tena, baadae nikikutana na mmoja wao naanza yale yale au wakati mwingine akinipigia simu mmoja wao najikuta nimeingilika.

Nisaidieni niachane na uchafu huo maana nimeufanya sana ila sijaona faida yake tena kuna mmoja yeye anataka aliwe ndio nazidi kuchanganyikiwa na hana shida kivile na hela yangu. Msaada waungwana.

Uzinzi ni uamzi na hali ya moyo kuwaka tamaa.
Ridhika na ulichonacho, amua kuacha kutoka moyoni, usifiche mabaya wambie wapenzi wako kua una mke so mambo mengine full stop.
 
Kapime 'ngoma' ile pressure ya majibu lazima utaacha tu.
 
Kuna documentary kwenye youtube imeandaliwa na BBC inaitwa the science of lust. Itafute uiangalie huenda itaweza kukupa mchango!
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na wasichana Wawili na kunamwingine bado namfuatilia lakini natamani niache ujinga huo ukizingatia nina mke na watoto, ila nimeshindwa.

Huwa naamua kuwa kuanzia sasa basi sitaki tena, baadae nikikutana na mmoja wao naanza yale yale au wakati mwingine akinipigia simu mmoja wao najikuta nimeingilika.

Nisaidieni niachane na uchafu huo maana nimeufanya sana ila sijaona faida yake tena kuna mmoja yeye anataka aliwe ndio nazidi kuchanganyikiwa na hana shida kivile na hela yangu. Msaada waungwana.

Mkuu na mimi ninaugonjwa huo ninae mke mzuri tu na watoto watatu lakini ninamichepuko kama sita yote ni ya kudumu kweli wakuu tusaidieni
 
Ikiwaka Mulika, Ikizima Papasa.
uamuzi wako ni kuwa huna msimamo
 
Kila kitu ni maamuzi kufanya ama kutokufanya, ukiamua kuacha utaacha.
 
Nina uhusiano wa kimapenzi na wasichana Wawili na kunamwingine bado namfuatilia lakini natamani niache ujinga huo ukizingatia nina mke na watoto, ila nimeshindwa.

Huwa naamua kuwa kuanzia sasa basi sitaki tena, baadae nikikutana na mmoja wao naanza yale yale au wakati mwingine akinipigia simu mmoja wao najikuta nimeingilika.

Nisaidieni niachane na uchafu huo maana nimeufanya sana ila sijaona faida yake tena kuna mmoja yeye anataka aliwe ndio nazidi kuchanganyikiwa na hana shida kivile na hela yangu. Msaada waungwana.

mpokee yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako

nawe utakuwa kiumbe kipya ya kale yatapita tazama yatakuwa mapya
 
Ingia gym...hizo nguvu za kuparamia kila papuchi, zitumie kwengine. Kwanza utaweka mwili wako fit....badilisha line.
 
Ungekuwa mwanamke ungeshutumiwa sana na hata kuuitwa malaya au maji mara moja au harage la mbeya. Ila kwa kuwa ni mwanaume noana unashauriwa kiupole. Hizo ni tamaa na roho ya uzinzi au kwa lugha stahiki ni umalaya. Acha kupokea simu zao wala kujibu ujumbe. Tafuta njia za kuwakorofisha ili wakuchukie na kuachana na wewe.
 
We hunishindi mimi kwa uzinzi. Mpaka sasa siikumbiki idadi ya michepuko yangu. Wengine nakuta namba za simu kwenye simu yangu ila siwakumbuki mpaka nikutane nao ndo nawakumbika. Na kushauri tuendeleze kuwachapa tu
 
We hunishindi mimi kwa uzinzi. Mpaka sasa siikumbiki idadi ya michepuko yangu. Wengine nakuta namba za simu kwenye simu yangu ila siwakumbuki mpaka nikutane nao ndo nawakumbika. Na kushauri tuendeleze kuwachapa tu

Heeeee!!!!! Mkuu hapana tuache tu
 
Ungekuwa mwanamke ungeshutumiwa sana na hata kuuitwa malaya au maji mara moja au harage la mbeya. Ila kwa kuwa ni mwanaume noana unashauriwa kiupole. Hizo ni tamaa na roho ya uzinzi au kwa lugha stahiki ni umalaya. Acha kupokea simu zao wala kujibu ujumbe. Tafuta njia za kuwakorofisha ili wakuchukie na kuachana na wewe.

Mkuu naona huruma sana kuwaacha ukizingatia mmoja wao hajui kuwa nina mke cha kushangaza hadi namba zangu kaisha mpa mama yake pamoja na dada yake na wananipigia kila mara sasa nimeishaogopa kumwambia huyo binti nitaanzia wapi sasa nipe mawazo mkuu
 
Jambo lolote huanza na dhamira, jitahidi utie Nia ktk moyo wako. Angalia watu wanaokuzunguka (marafiki, wafanyakazi /wafanyabiashara wenzio n.k) Kama ni watu wenye kushabikia hayo mambo waepuke. Sehemu unayoishi yaweza kuwa kichochea, mf unaishi sehemu ambayo unaonekana "Don" au superstar wa eneo hilo. Iga mapenzi ya kihindi, muda mwingi ukiwa "free" jitahidi kuwa na "mamaa" karibu. Usichoke kutafuta mbinu mpya za kulihuisha penzi lenu na kulifanya moto moto kila wakati.
 
Back
Top Bottom