Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Okey nimewaza hivyo ulivyotaja kunyoaNot even close!!!
Okey nimewaza hivyo ulivyotaja kunyoaNot even close!!!
Mafuta ya kusuka ni kama yapiNa mimi yalinikuta mwaka jana!!! Yaani nyweke ndefu kweli zikaharibika... Nilitamani kulia.
Nilitumia hiyo bia sijui lakini wapi!!!
Kurudisha nywele ni either uzinyoe au usiweke dawa kwa mda mrefu... Ata mwaka mzima... We unaosha tu na kutumia mafuta na kusuka.
Mimi niliamua kunyoa...
Dah nikizinyoa nawaza kuanza tena upya mtihaniNa mimi yalinikuta mwaka jana!!! Yaani nyweke ndefu kweli zikaharibika... Nilitamani kulia.
Nilitumia hiyo bia sijui lakini wapi!!!
Kurudisha nywele ni either uzinyoe au usiweke dawa kwa mda mrefu... Ata mwaka mzima... We unaosha tu na kutumia mafuta na kusuka.
Mimi niliamua kunyoa...
Na kusuka!!! Sio ya kusukaMafuta ya kusuka ni kama yapi
Ndo hivyo!!! Suka tu... Usiretouch...Dah nikizinyoa nawaza kuanza tena upya mtihani
ahaaa wanasema bia iliyoexpire.Na mimi yalinikuta mwaka jana!!! Yaani nyweke ndefu kweli zikaharibika... Nilitamani kulia.
Nilitumia hiyo bia sijui lakini wapi!!!
Kurudisha nywele ni either uzinyoe au usiweke dawa kwa mda mrefu... Ata mwaka mzima... We unaosha tu na kutumia mafuta na kusuka.
Mimi niliamua kunyoa...
Oooh! Sasa sinkujiunguza kichwa huko?ahaaa wanasema bia iliyoexpire.
Yaani na mimi dawa sitaki!!! Ila nywele zangu nyingiii... Zinasumbua kuchana!nyoa tu .hakuna namna .hata mimi nilinyoa last year august .zimeota tu fresh sina mpango wa kuweka tena dawa ya mchina
yaani mimi nimekuwa kama chizi maana nilikuwa nimeweka rafu dread sasa zimekuwa ndefu rafu yenyewe inagoma taabu tupu.nikisuka siku mbili zinasimama kama kibamia cha mwanaume wa dar asubuhi .sijui nifanyeje tenaYaani na mimi dawa sitaki!!! Ila nywele zangu nyingiii... Zinasumbua kuchana!
yaani naona kali inaniita polepole!!!
Yaani na mimi dawa sitaki!!! Ila nywele zangu nyingiii... Zinasumbua kuchana!
yaani naona kali inaniita polepole!!!
Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
Zioshe kwa kutumia Coca Cola ya moto.Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
ngoja niwalete wanaume wa dar wake wakuonyesheyaani mimi nimekuwa kama chizi maana nilikuwa nimeweka rafu dread sasa zimekuwa ndefu rafu yenyewe inagoma taabu tupu.nikisuka siku mbili zinasimama kama kibamia cha mwanaume wa dar asubuhi .sijui nifanyeje tena