Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,815
- 33,486
Hivi vitu vyote ni bora ahamie msituniDona, karanga mbichi, mihogo mibichi, mboga za majani ambazo zimepikwa kidogo tu, viazi vilivyochemshwa, asali, maziwa, matunda aina zote, punje za mapapai, punje za tikiti maji, punje za machungwa, kitunguu swaumu, korosho e.t.c......pia kunywa maji kwa wingi na fanya mazoezi kwa wingi pia!
U
Ujuzi wa nn kwani adam na hawa walipata wapi ujuzi????
Pole mkuu. Kwa uzoefu wangu baadhi ya basic tips za wewe kuzingatia ni hizi hapa:
1. Dumisha mawasiliano na mpenzi wako (both verbal na nonverbal).
2. Epuka kupanic na unatakiwa ujiamini.
3. Nakushauri ujifunze uujue mwili wa mwanamke ili kuelewa maeneo sahihi ya wewe kuelekeza concentration yako wakati wa majamboz.
4. Kujenga stamina ya mwili wako na afya kwa ujumla kwa kufanya mazoezi, kupunguza stress, kula vyakula sahihi na kupata usingizi wa kutosha.
5. Epuka kuwa mbinafsi wakati wa sebene. Jizoeshe kumfanya mpenzi wako ndio priority yako kwenye kuridhika (satisfaction).
With continuous practice utajikuta taratiibu unapongezwa na shemeji kwa performance nzuri.
I salute you. Your woman is luck to have you.Pole mkuu. Kwa uzoefu wangu baadhi ya basic tips za wewe kuzingatia ni hizi hapa:
1. Dumisha mawasiliano na mpenzi wako (both verbal na nonverbal).
2. Epuka kupanic na unatakiwa ujiamini.
3. Nakushauri ujifunze uujue mwili wa mwanamke ili kuelewa maeneo sahihi ya wewe kuelekeza concentration yako wakati wa majamboz.
4. Kujenga stamina ya mwili wako na afya kwa ujumla kwa kufanya mazoezi, kupunguza stress, kula vyakula sahihi na kupata usingizi wa kutosha.
5. Epuka kuwa mbinafsi wakati wa sebene. Jizoeshe kumfanya mpenzi wako ndio priority yako kwenye kuridhika (satisfaction).
With continuous practice utajikuta taratiibu unapongezwa na shemeji kwa performance nzuri.
Issue siyo Yeye Ila mpenzi wa kike.Fanya mazoezi mkuu... Penda kutumia vyakula vya asili na epuka mafuta sana. Mazoezi ya muhimu. Pia kuna watu husema kegel exercise hufanya mtalimbo kuwa imara.
It is the woman who needs help.Kunywa chai.yenye green tea na.asali, utaona matokeo
Pole sana mkuu KUNDULE!! BiLa shaka unaishi mjini Daslam mkuu!! Chips ni Nouma sana achana nazo kula mihogo, ugali wa dona, mtama, ulezi uone mziki wake. Pia kumbuka kupiga tizi la kiana mkuu utakuwa unamfikisha pale penyewe!Naombeni msaada jinsi ya kumfanya mwanamke afike kileleni maana kila siku analalamika simfikishi kunako.
Ni mrima upi mnaopanda?Naombeni msaada jinsi ya kumfanya mwanamke afike kileleni maana kila siku analalamika simfikishi kunako.
I salute you. Your woman is luck to have you.
Hahahahaaaa...masela bana!Mwambie anywe maji mengi atakojoa tu.
Pia asikubali kuchezewa sn maana hii inaharakisha yy kufika milele na kumuacha mwenzake njiani,kinyume chake yy ndo amchezee sana mlengwa,kuhusu mazoezi siyo kila zoezi linafaa hapo,yapo aina ya mazoezi hasa yanayohusu misuli ya mgongoJiamini mkuu yote yanawezekana,jambo la msingi jitahidi sana kumuandaa mwenzako usimparamie kama kuku na kama unajihusisha na must-erbation* acha kabisa huo mchezo mchafu.