Msaada: Nifanyaje nimfikishe kileleni?

Nisikilize kwa makini mimi ni mwanamke, kila mtu amekupa ushauri kwa anavyoelewa ila mimi nadhani kitu cha kwanza ufahamu ya kuwa kumfikisha mwanamke kileleni sio kula vyakula vya aina fulani, isipokuwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume ndio ule nini. Kwa ninavyofahamu mimi kumfikisha mwanmke kileleni ni lazima ujue position zake(sehemu zinazompa msisimko na mhemko) muulize usimuogope kuwa unapenda nikufanyie nini?,nikushike wapi, nikunyonye wapi?, akisakujibu unacheza na hayo maeneo yake lazima afike mshindo. Na wewe inakubidi uwe mbunifu kuutalii mwili wake sehemu mbali mbali bila woga wala kinyaa maana huenda kuna sehemu ambayo ukimshika utamkosha zaidi lkn mwenyewe alikuwa hajui,basi taliii umfurahishe kwa kubadili mitindo mbali mbali sio kila siku kifo cha mende wakati anafika mshindo kwa mbuzi kagoma kwenda utachapiwa!!!!!!!...
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Umeshapata majibu ya tatizo mkuu......

Lakufanya tumia muda mwingi kucheza na maungo yake kabla ya kwenda paradiso, hakikisha mpaka umuone kalegea kabisaaaa then ukiingia tumia mahesabu go and return mara 100 mfululizo huku unapiga up and down, side to side.......ukiweza hiyo husisahau fadhila namba yangu ya mpesa ntakutumia
 
ulizo langu kwako ili nikupe msaada vema, 1 ume oa? mnakutanaka naye kwa mazingira gani? halafu itakuomba pia kuchukua mda muafaka kwa kumzoea mazingira yke, cha pili toa woga na mapigo ya moyo, cha tatu uzoee ku funga itakapokuja alakini kwa round ya pili kwani ni normal kufika kileleni kwa minuts tatu mpaka tanu according to biology.
 
hahahahahhaha watu bhana, hivi ushauri nao una malipo eeeeh

hayaaaaa
 
asante da yangu kwa ushauri mzuri
 
ni
mimi nmeoa pia huwa tunakutana muda muafaka mkuu
 
sawa mkuu nipm nambayako ntakutumia
 
nitakuonaje mkuu
 
Mwambie ani PM nimuulize kama Ni kweli unacho kinena.
 
ndomana nikaja hapa kutafuta ushauri mana JF imenisaidia kusolve mambo mengi
Dakika 15 hafiki kileleni?? Itakuwa humuandai vizuri.....kimsingi mwanamke alieandaliwa vyema na mwenye hisia kamili huwa hachukui hata dakika nyingi kufika mlima kilimanjaro......so kuna mengi hapo kama humuandai vizur basi hana hisia na wewe au labda wakat wa tendo huwa ana mawazo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…