Msaada, niagize kamera ipi Kati ya hizi mbili?

Msaada, niagize kamera ipi Kati ya hizi mbili?

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,575
Reaction score
31,013
Nahitaji kuagiza Alibaba kamera ya kupiga picha za mnato na video namm sio mzoefu sana ila kwakua najifunza nimeona ni bora niwashilikishe.

Pesa sio tatizo ila nimeingia mtandaoni nikaona Canon 5D Mark IV na Nikon D850, hizi kamera zimenivutia sana zote zinatoa video zenye viwango (4k), japo siwezi kuchukua mbili Kwa pamoja ila ushauri wenu utakuwa maamuz yangu ipi Kati ya hizi ninunue

Lakini pia kama una ushauri wa kamera ipi inaweza kuwa nzuri zaidi ya hizo nilizotaja karibu maana naskia pia nikon D500 ni Moto wa kuotea mbali.

1673694775309.jpg
1673722214422.jpg
 
Picha hizo ndivyo hvyo hvyo zinavouzwa na lenz zake au ni mfano tu umeweka

Kwa Video CANON kuna vitu imeipita NIKON kiasi

but kuna vitu vingi kwenye faida kwa NIKON.

battery lake linatunza sana chaji yaani sana linatunza sana mara 2 ya CANON

Pia kwa SENSOR RESOLUTION sensor ipo juu

Ina maana utapata PICHA mnato Quality zaid kupita NIKON

Hvyo kibongobongo kibiashara NIKON naona chaguo zuru zaidi

Ingawaje kuna feuture zipo katika CANON ambapo NIKON hana
 
Canon ni nzuri zaidi...

Kama mfuko unaruhusu chukua na prime lens zako 3 (35mm/50mm/85) kazi inakuwa imeisha.
Toa sababu kwann Canon nasio nikon, hiyo nikon D850 usiichukulie poa mjomba
 
Yap 7bu kuu utunzaji wa battery
Na PICHA mnato nzuri QUALITY
wabongo wanapenda sana PICHA kuliko VIDEO
na kwa picha hiyo NIKON ndio yenyewe

Ila kwa VIDEO CANON hiyo ipo JUU kwenye 4K feature zake ni nzuri ambapo NIKON haifikii
Zote ni 4k mjomba
 
Back
Top Bottom