Msaada: Ni Illuminati au Mungu?

Xperience

JF-Expert Member
Dec 8, 2012
278
51
Alikosea jambo na kuharibu kiungo chake cha mwili. Miaka miwili baadae akaanza kusikia sauti ya kiume iliyojitambulisha kama mungu ikimwongelesha na kumtesa kichwani! Anaomba mungu lakini haponi! Hata hivyo akiwa katika mazungumzo na watu endapo patatokea pa kumcheka mtu akicheka basi anaelekezewa fikra huko huko ili iwe kafanya dhambi kumcheka. Yaani anafanyishwa dhambi na hiyo sauti ijiitayo mungu.
 
Kuna ugonjwa unaitwa psychosis. Huu ugonjwa humfanya mtu asikie sauti zinazompinga/ Mshitaki/ au kumkosoa kwa kila jambo. Mwambie asearch kwenye google kuhusu hou ugonjwa. Kwa msaada zaidi unaweza kuni inbox...
 
Kuna ugonjwa unaitwa psychosis. Huu ugonjwa humfanya mtu asikie sauti zinazompinga/ Mshitaki/ au kumkosoa kwa kila jambo. Mwambie asearch kwenye google kuhusu hou ugonjwa. Kwa msaada zaidi unaweza kuni inbox...
The thing which is currently happening to kanye west? But people link it with the illuminat
 
Back
Top Bottom