MSAADA NDUGU ZANGU

NGOSWE2

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
635
547
Kuna simu nimeletewa kutoka ng'ambo lakini kidogo inanichanganya.

No simu aina ya LG Phoenix 3. Wao wameandika 4G LTE, lakini ukiweka sim card kwenye mtandao inasoma we EDGE. Nimejaribu kuangalia setting kulingana na ufahamu wangu sijaona sehemu ya kutafutia na kuweka 4G. Ukisoma kwenye maelezo yake kwenye box wanadai inasapot LTE. Nimejaribu kuwasiliana na ndugu aliyenitumia anadai huko aliko zinafanya kazi.
Mwenye kuweza kunisaidia tafadhari nahitaji msaada.
 

Attachments

  • Capture+_2018-10-03-15-29-52.png
    Capture+_2018-10-03-15-29-52.png
    9.7 KB · Views: 19
  • Capture+_2018-10-03-19-51-03.png
    Capture+_2018-10-03-19-51-03.png
    18.5 KB · Views: 19
Ndio Mkuu!

Pia ndani ya box waliweka kitu ambacho sikielewi kazi yake. Sijaweza kuchana ,lakini ukiangalia kwa kwa makini unaona Kama njia fulani hivi zinazoonekana kwenye saketi ya baadhi ya vifaa vya electronic.
 

Attachments

  • WP_20181006_13_43_19_Pro.jpg
    WP_20181006_13_43_19_Pro.jpg
    112.6 KB · Views: 19
Jaribu kubadilisha manually hapo kwenye network type u edit uondoe edge uweke ya mtandao husika
 

Attachments

  • Capture+_2018-10-06-14-17-33.png
    Capture+_2018-10-06-14-17-33.png
    12.8 KB · Views: 15
  • Capture+_2018-10-06-14-18-55.png
    Capture+_2018-10-06-14-18-55.png
    8 KB · Views: 16
  • Capture+_2018-10-06-14-19-30.png
    Capture+_2018-10-06-14-19-30.png
    7.4 KB · Views: 16
Ipo hivi Kama inavyoonyesha. Nami sio mjuzi wa hivi vitu Mkuu Chief-Mkwawa!
Band zake za 4g ni 700, 850, 1700 na 1900 hivyo kwa mitandao yetu ya sasa hutapata 4g.

Hapo ulipo mtandao gani upo vizuri 3g?tumia huo
 
Back
Top Bottom