MGODOLO
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 209
- 172
Habari zenu ndugu zangu wana JF, Nina ndugu yangu ambaye ni dereva wa lori, Alimgonga kijana wake kwa nyuma kwa bahati mbaya kwakua hakumuona (kwa bahati mbaya alifariki)
Ndugu yangu alikamatwa na kuwekwa Lockup siku kadhaa, Lakini kwa sasa yupo nje kwa dhamana, mpaka leo hii ana siku ya 15 anakwenda kuripoti tu na kuambiwa faili lipo kwa mwana sheria kwa lengo la kwenda mahakamani, Leseni yake ipo hukohuko.
SWALI LA KWANZA
Naomba kuuliza, Je, hali hii ya kwenda kuripoti kila siku, itamchukua muda gani mana kwasasa hawezi kufanya kazi kwakua jembe lake lipo polisi.
SWALI LA PILI
Je, Kuna uwezekano kweli akapelekwa mahakamani? Au ataishia kuripoti na kuachana naye, Mana kuhusu ndugu wa marehemu hawafuatilii tena
MSAADA NINAOTAKA
Endapo atapelekwa mahakamani Je? Ajiandae na yapi, Kuhusu maswali atakayoulizwa ajibu vipi, AKUBALI AU AKATAE... mana watu wengine wanasema akiwa mahakamani akubali, wengine wanasema akatae, Sasa mimi kama ndugu nimebaki njia panda ili asije akakosea kujibu mwisho akafungwa.
Naombeni msaada wenu kama kuna aliekutwa na hilo swala na ilikuaje,
Msaada wenu tafadhali ndigu zangu
Nawasilisha. Asanteni
Ndugu yangu alikamatwa na kuwekwa Lockup siku kadhaa, Lakini kwa sasa yupo nje kwa dhamana, mpaka leo hii ana siku ya 15 anakwenda kuripoti tu na kuambiwa faili lipo kwa mwana sheria kwa lengo la kwenda mahakamani, Leseni yake ipo hukohuko.
SWALI LA KWANZA
Naomba kuuliza, Je, hali hii ya kwenda kuripoti kila siku, itamchukua muda gani mana kwasasa hawezi kufanya kazi kwakua jembe lake lipo polisi.
SWALI LA PILI
Je, Kuna uwezekano kweli akapelekwa mahakamani? Au ataishia kuripoti na kuachana naye, Mana kuhusu ndugu wa marehemu hawafuatilii tena
MSAADA NINAOTAKA
Endapo atapelekwa mahakamani Je? Ajiandae na yapi, Kuhusu maswali atakayoulizwa ajibu vipi, AKUBALI AU AKATAE... mana watu wengine wanasema akiwa mahakamani akubali, wengine wanasema akatae, Sasa mimi kama ndugu nimebaki njia panda ili asije akakosea kujibu mwisho akafungwa.
Naombeni msaada wenu kama kuna aliekutwa na hilo swala na ilikuaje,
Msaada wenu tafadhali ndigu zangu
Nawasilisha. Asanteni