Msaada ndugu,jamaa na marafiki

Msaada ndugu,jamaa na marafiki

gajjah

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
18
Reaction score
2
Nataka kujua kuhusu KAPADIA EDUCATION FOUNDATION inakuwaje jinsi ya application Zao kwa aliye wahi kupitia au anafaham anijuze ..Mana naitaji kuendelea na Elimu ya juu nilimaliza ngazi ya Cheti Nilichukua Utawala wa biashara naitaji msaada wana jf..
0653634503 mwaweza nitafuta kupitia kwa tarifa zaidi....
 
Nimegoogle ndugu lakin cjapata kufaham mana naona form za degree kuapply namelezo kidog ambayo hayajanitosha kujua kiundan zaid
# Pritty
 
Back
Top Bottom