Aisee unatuogopesha tulio chaguliwa hapoKwa tahadhari bro usiombe Mzumbe.. Inahitajika nguvu kubwa mno kusoma pale..
Ndo ukweli huo bro.. Ma TO wanakaa hapa... so umetoka na akili za kuungaunga ukadhani utaweza.. Akitaka kusoma basi aache mambo yote ajue yuko shule tu..Aisee unatuogopesha tulio chaguliwa hapo
Nataka nifanye maombi ya kuhamia ktk vyuo tajwa lakini nataka kujua kuna kozi gani ambazo zina nafasi...ili niangalie kama ni kati ya zile ninazozihitaji
Ahsante
Kwakwel mnywe maji mengi pale Mu sio masiharaMzumbe unakuja course gani???
Unaniambia mim??? nko zangu mwaka wa tatu...karibuKwakwel mnywe maji mengi pale Mu sio masihara
Wakaribishe na uswazi zote ya juu na chiniHaha karibuni millitary university (MU)
Hahahha nmecheka kwa sauti, hongera kwa jitihada hadi kufika hapo c mchezo mie ndo naingia mwaka wa pilWakaribishe na uswazi zote ya juu na chini
Hahahahahaha waje kwani sisi wengine tumepitaje lkn wakumbuke Mzumbe si pamchezomchezoMzumbe Msijaribu nyie.. nendeni UDSM au UDOM..
Kwa tahadhari bro usiombe Mzumbe.. Inahitajika nguvu kubwa mno kusoma pale..
Hizi hapa slots kwa Mzumbe http://site.mzumbe.ac.tz/images/PDF/modality_of_transfer_2016_2017.pdf
Mzumbe Msijaribu nyie.. nendeni UDSM au UDOM..
hawana walijualo... ndio kwanza wameanza chuo hao, wamemaliza mwaka wa kwanza wanaenda wa pili... wengine ndio wanaingia watatu... wanaleta mbwembwe nyingi...Unataka kutuambia mzumbe kuna nini kipya ..acheni kuwapanikisha madogo waamini mzumbe ni chuo cha vipanga.....mnawaaminisha matango pori...mzumbe haifikii udsm..kwanza mzumbe ni managerial university only