Msaada: Naweza kuhama chuo baada ya kuchaguliwa?

Msaada: Naweza kuhama chuo baada ya kuchaguliwa?

Joined
Jul 7, 2016
Posts
11
Reaction score
2
Nauliza kama kuna uwezekano wa kuhama faculty unapokua tayar selected kwenye chuo fulani kama unavigezo vya Hiyo faculty nyingine....sanasana kwa kwa chuo cha SUA
 
Inawezekana but uwahi mapema sana kipindi cha usaili
 
Nauliza kama kuna uwezekano wa kuhama faculty unapokua tayar selected kwenye chuo fulani kama unavigezo vya Hiyo faculty nyingine....sanasana kwa kwa chuo cha SUA

Vyote vinawezekana, kuhama Faculty, kuhama degree program na hata kuhama chuo kabisa unaweza
 
Vyote vinawezekana, kuhama Faculty, kuhama degree program na hata kuhama chuo kabisa unaweza
Nashkur mkuu maana nmetemwa first selection sa kozi zmebak za ajabu Na siwezi kuhairisha mwaka sa nkawa nmewaza niende tu chuo ntabadilishaga faculty huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom