Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,447
- 11,315
Aiseee tumetokea mbali sana yaani ram 512 mb, na storage 4gbWatu wana kufuru sana ๐๐๐๐๐
Aiseee tumetokea mbali sana yaani ram 512 mb, na storage 4gbWatu wana kufuru sana ๐๐๐๐๐
Ili mradi mawasilianoHahahaha sasa wewe umesema una hizo nyingine ila huyu mtoa mada hana options ๐๐
Aaah ๐๐๐Ili mradi mawasiliano
Wengine wanahifadhi simu kwenye PC jamaniAaah ๐๐๐
Siku hizi simu ndo deals zenyewe sasa ukiwa na 4gb storage utatoboa kweli picha saba tu simu ishaanza kustaki kweli kweli
Hahaha ๐, swali la kiuchokozi unadhani mtoa mada ana pc!!๐๐Wengine wanahifadhi simu kwenye PC jamani
Tusiforce wote wanunue simu kubwa kubwa ๐
Hahahahaaaa sikumaanisha hivo. wewe ndo umefanya imekua dharau kubwa... Na umeamua kumuita mjumbe kabisa.Hahahhahah aiseee sasa hiinndo dharau yenyewe cc Saint Anne
๐๐๐ Ila jamaa wa kizamani sana kwa kweli smart 6 bro?Hahahahaaaa sikumaanisha hivo. wewe ndo umefanya imekua dharau kubwa... Na umeamua kumuita mjumbe kabisa.
Mpaka najiuliza anafanya nini humu.. Huyo inatakiwa aishie FESIBUKUรญ ยฝรญยธรญ ยฝรญยธรญ ยฝรญยธ Ila jamaa wa kizamani sana kwa kweli smart 6 bro?
Nimecheka kinoma๐๐Mpaka najiuliza anafanya nini humu.. Huyo inatakiwa aishie FESIBUKU
Nina uhakika hautumii INIFINIKISI SIMATI SIKISIรญ ยฝรญยธรญ ยฝรญยธรญ ยฝรญยธ Ila jamaa wa kizamani sana kwa kweli smart 6 bro?
Situmiii hiyo mkuu ila nilianzaga kutumia simu tecno, then itel, then redmi, then kamuni isiyojulikanaNina uhakika hautumii INIFINIKISI SIMATI SIKISI
kamuni tena?? unataka kuniua sasa.. Watu wamelele me nacheka kama mchawi.Situmiii hiyo mkuu ila nilianzaga kutumia simu tecno, then itel, then redmi, then kamuni isiyojulikana
I meant kampuni ya vifaa vya umeme ๐kamuni tena?? unataka kuniua sasa.. Watu wamelele me nacheka kama mchawi.
Habari.
Natumia Infinix smart 6 Nikita kukata simu kwenye display inaonesha rangi nyeusi mpaka akate MTU niliye mpigia.
Nawezaje kuondoa hii??
Mchangieni hela anunue hizo Samsung,iphone,Huawei na Pixel mnazotaka awe nazoHahahaha sasa wewe umesema una hizo nyingine ila huyu mtoa mada hana options ๐๐
Hizi ndo dhereu kabisaaa๐๐๐Hiyo ni Simu gani? Sijawahi sikia kabisa.
Me sina simu yeyote kati ya hizo ๐๐, so msala wa kuchanga pesa nimeukwepaMchangieni hela anunue hizo Samsung,iphone,Huawei na Pixel mnazotaka awe nazo
๐๐๐ Ni wao bhanaHivi ni app ilikuwa inajitumisha yenyewe aina ya simu au wale wahuni walikuwa wanaandika kwa akili zao timamu