Msaada: Natumia Infinix Smart 6

Msaada: Natumia Infinix Smart 6

Acha kumpa ushauri huo utamlemaza. Huyo asafishe kibubu na mifuko yake akanunue simu ya maana.. aache kutumia mitakataka hiyo.
Simu ni simu tu hata kama ni ki batani , cha msingi kitumike kuandaa kusudi maalumu ,

Usidharau kitu chochote. Mzee ndugu....


Asafishe sensor ya screen , I hope ni chini ya 10,000. Kote kote hata mtwara ni chini ya 10,000 hivi au hata 5,000 , ...maana simu ikiwa Ina leta shida hiyo , tatizo kuu ni screen sensor tuu


#simu ni simu cha msingi itumike Kwa kusudi maalumu , Infinix , Tecno , Samsung , iphone , red me n.k of the same like are both smartphone. KITACHOTOFAUTISHA NI BRAND TUU
 
Simu ni simu tu hata kama ni ki batani , cha msingi kitumike kuandaa kusudi maalumu ,

Usidharau kitu chochote. Mzee ndugu....


Asafishe sensor ya screen , I hope ni chini ya 10,000. Kote kote hata mtwara ni chini ya 10,000 hivi au hata 5,000 , ...maana simu ikiwa Ina leta shida hiyo , tatizo kuu ni screen sensor tuu


#simu ni simu cha msingi itumike Kwa kusudi maalumu , Infinix , Tecno , Samsung , iphone , red me n.k of the same like are both smartphone. KITACHOTOFAUTISHA NI BRAND TUU
Inaonekana una uelewa mdogo sana kwenye kitu kinachoitwa thamani ya mtu na kitu..

Ni sawa unambie gari ni gari tu, haijalishi iwe Vitz au Landcruiser cha msingi ni kufika tu..!!!!!

Pole sana, inaonekana na wewe upo humo humo kwenye INIFINIKISI na TEKENOO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom