Kwa sisi tusio wa imani hiyo(Ya Kiislamu) maisha yakoje,Ninaweza kutoka kweli.Mwenye Uzoefu msaada Tafadhali.
Mkuu, kwanza nianze kukufahamisha kuwa mimi si mwislam na nimekaa madinna miaka 4 hadi nilipoamua mwenyewe kurudi tz. Nachoweza kukushauri ni kwamba; iwapo una profession yako, waarabu watakuheshimu sana na utafanya nao kazi bila tatizo lolote. Lakini iwapo unatafuta kazi za mtemvu (u-house boy), unaweza ukaona maisha ni magumu sana kwako.Kwa sisi tusio wa imani hiyo(Ya Kiislamu) maisha yakoje,Ninaweza kutoka kweli.Mwenye Uzoefu msaada Tafadhali.
Mkuu, kwanza nianze kukufahamisha kuwa mimi si mwislam na nimekaa madinna miaka 4 hadi nilipoamua mwenyewe kurudi tz. Nachoweza kukushauri ni kwamba; iwapo una profession yako, waarabu watakuheshimu sana na utafanya nao kazi bila tatizo lolote. Lakini iwapo unatafuta kazi za mtemvu (u-house boy), unaweza ukaona maisha ni magumu sana kwako.
Iwapo utaenda huko hata kama una profession yako au vinginevyo, jitahidi usiingilie mambo ya dini yao au kwa kuikashifu au kwa kuwashawishi watu waachane nayo. Waarabu wanapenda sana dini yao na wanaweza kukufanyia kitu mbaya ukionekana unaleta upinzani. Otherwise ni watu wenye upendo bila kujali dini ya mtu.
hamna kitu kama hicho bana. Ole wako walioteseka huko wakujue.Mkuu, kwanza nianze kukufahamisha kuwa mimi si mwislam na nimekaa madinna miaka 4 hadi nilipoamua mwenyewe kurudi tz. Nachoweza kukushauri ni kwamba; iwapo una profession yako, waarabu watakuheshimu sana na utafanya nao kazi bila tatizo lolote. Lakini iwapo unatafuta kazi za mtemvu (u-house boy), unaweza ukaona maisha ni magumu sana kwako.
Iwapo utaenda huko hata kama una profession yako au vinginevyo, jitahidi usiingilie mambo ya dini yao au kwa kuikashifu au kwa kuwashawishi watu waachane nayo. Waarabu wanapenda sana dini yao na wanaweza kukufanyia kitu mbaya ukionekana unaleta upinzani. Otherwise ni watu wenye upendo bila kujali dini ya mtu.
wanaoteswa sana huko si waslam wenzaolabda uslim.
maana utashindwa taratibu za kiislam, pia watakuhukumu ww kafir.
tafuta nchi zingine
Kwa sisi tusio wa imani hiyo(Ya Kiislamu) maisha yakoje,Ninaweza kutoka kweli.Mwenye Uzoefu msaada Tafadhali.
Muone abass mtemvu mbunge wa temeke atakusaidia sana tena sana kwanza bado umri unakuruhusu kufanya ajira za mtemvu
Mkuu, kwanza nianze kukufahamisha kuwa mimi si mwislam na nimekaa madinna miaka 4 hadi nilipoamua mwenyewe kurudi tz. Nachoweza kukushauri ni kwamba; iwapo una profession yako, waarabu watakuheshimu sana na utafanya nao kazi bila tatizo lolote. Lakini iwapo unatafuta kazi za mtemvu (u-house boy), unaweza ukaona maisha ni magumu sana kwako.
Iwapo utaenda huko hata kama una profession yako au vinginevyo, jitahidi usiingilie mambo ya dini yao au kwa kuikashifu au kwa kuwashawishi watu waachane nayo. Waarabu wanapenda sana dini yao na wanaweza kukufanyia kitu mbaya ukionekana unaleta upinzani. Otherwise ni watu wenye upendo bila kujali dini ya mtu.
Kazi za abass mtemvu uhuni mtupu kama jamaa alivyosema kama una fani waweza kupata ajili ila kama ni hizi za kusafisha vumbi na vyombo utajuta utaona nafuu hata ya kuuza karanga wasaalam
Wakuu naomba kufahamishwa kazi za Abbas Mtemvu ndo zipi hizo?
How to start there in DennmarkKuna msomali na mbagladesh na mghana wa kaskazin wote waislam tunabeba nao boksi hapa Denmark. Wanasema mzungu ni mtu bwana. Walishafanya kazi middle east huyu mghana na mpakistan saudia na msomali Qatar na dubai. Wanasema mateso na manyanyaso waliyopata kutoka kutoka kwa waarab hawatasahau licha ya uislam wao. Licha yautajir walionao waarab wa hiz nch mshahara waliokuwa wanapewa mdogo kazi nine nakufanyishwa kama mtumwa. Kwa ufup uwe muislam ama siyo jua ukienda huko wewe ni mtumwa. Ingia youtube ama ugoogle uone haya manafik yanavyotesa waislam wenzao kutoka nchi maskin. Njoo nchi za wakristo huku u one wasomali wairaq wakurd wabosnia na waislam wanavyoish kama pepon wengi wao tena bure
wanaoteswa sana huko si waslam wenzao