Msaada: Nataka nifanye kazi JWTZ

Msaada: Nataka nifanye kazi JWTZ

Joined
Oct 27, 2017
Posts
57
Reaction score
84
Wana JF wenzangu.
Naomba kuelekezwa njia au utaratibu wa kufuata ili nitimize ndoto yangu ya kuwa officer kwenye jeshi la wananchi wa Tanzania.

Sifa zangu
1. Nina miaka 27
2. Mtanzania
3. Nina Bachelor of science in Telecommunicatiins Engineering from UDSM. Nilimaliza mwaka jana (2016)
4. Nina upper second class as per GPA

Naomba msaada wa procedure za kufuata
 
Huko pagumu kuingia ndugu yangu pamekuwa kama Gold but jaribu kuomba nafasi ya Jkt uanzie kuingia huko miaka 2 baada ya hapo ndio unaajiriwa huko
 
Huko pagumu kuingia ndugu yangu pamekuwa kama Gold but jaribu kuomba nafasi ya Jkt uanzie kuingia huko miaka 2 baada ya hapo ndio unaajiriwa huko
Aisee nembo ya SAUT, imenikumbusha mbali sana. Those days za Fr kitima.
 
Kaka kwann wataka kunijua jina tena.
Nipe msaada wa hizo procedures za kufuata


Kumbe huhitaji msaada wowote wewe...
Ningekupa connection ya mchizi wangu pale Mgulani fasta ukaliunge na vijana wanaotarajia kuingia mwezi ujao...
Kaa na shida zako hivo hivo..
 
Kwa mapenzi kabisa tena ya kweli
SAWA MKUU WAIT WAJUZI WAJE HAPA ILA SI UNAJUA SASA HVIE KUJUANA KWINGI KUMBUKA NA HILO PIAH AU UNGEOMBA HATA INTERSHIP KWENYE MAKAMPUNIYA TELECOMMUNICATION KUKUZA TAALUMA YAKO KWANI YEW AR FRESH FROM SCHOOL UKIENDA HUKO TAAALUMA YAKO ITASINZIA
 
Unataka kua MLINZI WA TAIFA au kupata CHEO cha officer

Kama anataka cheo utaishia njiani ukimbie jeshi

nachojua jeshi haligawi vyeo kama NJUGU

Nyinyi ndo mkipelekwa congo mnaenda kuvua nyota na gwanda mnatoka nduki

Jeshi linahitaji WAPIGANAJI sio wasaka vyeo

ivyo poti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom