Msaada: Nataka nifanye kazi JWTZ

Unataka kua MLINZI WA TAIFA au kupata CHEO cha officer

Kama anataka cheo utaishia njiani ukimbie jeshi

nachojua jeshi haligawi vyeo kama NJUGU

Nyinyi ndo mkipelekwa congo mnaenda kuvua nyota na gwanda mnatoka nduki

Jeshi linahitaji WAPIGANAJI sio wasaka vyeo

ivyo poti
Bro nipe utaratibu nifuate mambo ya vyeo hata kweny telecom company yapo ila nataka nifanye kaz kwelikweli
 
Asante kaka lakini niliskia engineers unaweza ingia moja kwa moja
Moja kwa moja????hi chi sio ya jakaya...watu wana madgree makambin hawajachukuliwa sembuse we ambaye upo mtaani ...hio degree yako sio kigezo ,,jeshin uzalendo .
Japo inakusaidia badae kwenda officer cadet...nakushauli kwa chin uplan maisha , jesh utumwa hutaamin kama huna refaa utaishia kuwa service man kambin na degree yako..jesh kuna harufu ya rushwa vbaya sana
 
jeshi linatakiwa kuwa na wasomi wa kada mbalimbali kwa sababu kwa sasa kuna VITA VYA KIUCHUMI BAINA YA NCHI NA NCHI mambo yale ya kumfuata id amin hakuna tena nyakati hizi, jaribu kufikiri kanchi fulani kamfuate mrusi eti wakapigane on war-field utapotezwa faster maana saizi watu wanakupiga wakiwa ofisini tu, sasa shughuli kama hiyo inahitaji wasomi pia tujaribu kujifunza kwa anachofanya north Korea

JESHI LA TZ LINAHITAJI MABADILIKO YA KITECHNOLOGIA SIO PROPAGANDA TU NA KUPANDISHWA VYEO
jeshi letu hata halichangii kwa chochote kwenye uchumi zaidi ya kutumia
Ukijiuliza maswali haya unaona kabisa jeshi la tz linahitaji REFORMATION
 
jeshi linatakiwa kuwa na wasomi wa kada mbalimbali kwa sababu kwa sasa kuna VITA VYA KIUCHUMI BAINA YA NCHI NA NCHI mambo yale ya kumfuata id amin hakuna tena nyakati hizi, jaribu kufikiri kanchi fulani kamfuate mrusi eti wakapigane on war-field utapotezwa faster maana saizi watu wanakupiga wakiwa ofisini tu, sasa shughuli kama hiyo inahitaji wasomi pia tujaribu kujifunza kwa anachofanya north Korea

JESHI LA TZ LINAHITAJI MABADILIKO YA KITECHNOLOGIA SIO PROPAGANDA TU NA KUPANDISHWA VYEO
jeshi letu hata halichangii kwa chochote kwenye uchumi zaidi ya kutumia
Ukijiuliza maswali haya unaona kabisa jeshi la tz linahitaji REFORMATION
Daa watupe chance tukatumie uelewa wetu kuleta reformation sasa.
Nguvu tunayo, nia tunayo na ujuzi tunao
 
Huko pagumu kuingia ndugu yangu pamekuwa kama Gold but jaribu kuomba nafasi ya Jkt uanzie kuingia huko miaka 2 baada ya hapo ndio unaajiriwa huko
Builds the city of God!
I miss those moments at Saut
Kina papaa mulongo a.k.a kambale na mtu wa totoz anselme
 
Back
Top Bottom