Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,549
- 1,421
Hivi nianzeje kununua bidhaa kutoka nchi za ughaibuni (China,Dubai,Japan nk)? Pia nianze na shilingi ngapi? Je njia hiyo ni salama? Niko mikoani je mzigo utanifikiaje? Nataka kuuza electronics Je kuna ushuru natakiwa kulipia bidhaa kabla au baada ya kupokea bidhaa? Je naweza kupata mzigo kama nilivoagiza? Je bei ya online inakuwa ndogo kuliko ya hapa nchini?