Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Wakuu nyumbani kwangu nina mti mkubwa sana wa mkorosho umekuwa kero sana unaleta wadudu wakubwa kama funza wanashambulia maua yake...nataka kuuangamiza ili hao wadudu wasiendelee kudondoka chini...sina chain saw( ule msumeno wa umeme) je njia gani inaweza kuuwa mti huu haraka bila ya madhara?