luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,361
- 6,967
Kuna uzi flan jamaa mmoja alifafanua vizuri jinsi posta wanavyo piga hesabu za kodi kwa vifurushi vizito kama hiyo mi bidhaa uliyo weka mzeeMkuu kwa mfano naona wanaandika bei ya Tanzania inakuwaje bei ni ile ile au!!!
Mfano huo ukiagiza ni bei hiyo hiyo au??View attachment 1647906View attachment 1647908
