Msaada: Nataka Kuagiza Simu AliExpress

Msaada: Nataka Kuagiza Simu AliExpress

Kwenye zip code jaza post code ambazo ni tofauti kwa kila mkoa na kila kata post code yako ipo kwenye kitambulisho Chako cha nida baada ya mwaka wa kuzaliwa 20000718-postcode-00
Mkuu hilo la postal code mim nalijua...sasa huyo mdau kasema Tanzania tuna mfumo wa zip code na katoa zip code ya tz..ndo nmemwambia aweke link ambayo ni official inayosema Tanzania ina zip code na ni hiyo aliyo iweka yeye

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
2
Mkuu hilo la postal code mim nalijua...sasa huyo mdau kasema Tanzania tuna mfumo wa zip code na katoa zip code ta tz..ndo nmemwambia aweke link ambayo ni official inayosema Tanzania ina zip code na ni hiyo aliyo iweka yeye

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ok nimeelewa sasa
 
Naomba official source ya hii zip code kwamba ni ya Tanzania

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Mkuu hilo la postal code mim nalijua...sasa huyo mdau kasema Tanzania tuna mfumo wa zip code na katoa zip code ya tz..ndo nmemwambia aweke link ambayo ni official inayosema Tanzania ina zip code na ni hiyo aliyo iweka yeye

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Link sina Boss, labda nimpange mkulu aweke taarifa za Nchi kwa Mabeberu ili waziingize google
 
Link sina Boss, labda nimpange mkulu aweke taarifa za Nchi kwa Mabeberu ili waziingize google
Hizi zip code kwa nchi nyingi za Africa ambapo Kuna Makazi holela hamna, nafikiri hizi ndiyo zile ambazo unaletewa parcel yako mlangoni, we komaa na postcode
 
Wakuu inamaana ukiagiza mzigo ile shipping cost wanakata aliexpress na kitu kikifika pale posta tena unalipia kodi?Naombeni mnieleweshe hasa ukitumia standard shipping ya aliexpress
 
Wakuu inamaana ukiagiza mzigo ile shipping cost wanakata aliexpress na kitu kikifika pale posta tena unalipia kodi?Naombeni mnieleweshe hasa ukitumia standard shipping ya aliexpress
Shipping itakatwa na ali Express,kodi inategema kama mzgo haupo kweny kodi utapata bure...kama upo kweny kodi utakatwa kodi

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Kama huna sanduku la Posta usiagize kabisa. Ile notification ya kupokelea mzigo huwekwa kwenye box lako.
Sio kweli nisha agiza vitu ving kupitia Ali express na sina box Jana nimetoka kuchukua flash ya 64 GB hi ni kma ya 4 hivi, pale nimeweka namba ya simu na mkoa nilipo na wilaya ivyo jana walinipigia simu nikaenda chukua na kitambulisho cha nida so sio lazima uwe na sanduku la post
 
Sio kweli nisha agiza vitu ving kupitia Ali express na sina box Jana nimetoka kuchukua flash ya 64 GB hi ni kma ya 4 hivi, pale nimeweka namba ya simu na mkoa nilipo na wilaya ivyo jana walinipigia simu nikaenda chukua na kitambulisho cha nida so sio lazima uwe na sanduku la post
Mkuu kwa mfano naona wanaandika bei ya Tanzania inakuwaje bei ni ile ile au!!!
Mfano huo ukiagiza ni bei hiyo hiyo au??
Screenshot_20201212-114237.jpg
Screenshot_20201212-114511.jpg
 
Back
Top Bottom