Kikuu ni majanga asinunue huko simuPia zpo kwenye app ya kikuu huko ni rahisi kununua kuliko aliexpress
Kwanini mkuu embu elezea kidogo
Huwa wanaleta vitu vya hovyo sana...huko pakununua dawa za miswaki tu labdaKwanini mkuu embu elezea kidogo
mkuu zipcode unajazapo kitu gani au unaitoa wapi msaada tafadhali.Unaenda kupokelea ambapo umejaza shipping addres yako
Utaipokelea POSTA na huenda ikapitishwa CUSTOM ili kulipa ushuru na kodi ya ongezeko la thamani. Vile vile Posta wanachaji gharama ya kukupokelea huo mzigo TZS 5,900. Nimesema "huenda" maana kama thamani ya kifurushi ni ndogo hawapeleke "Customs"Habarini za asubuhi wataalamu.
Kuna simu ndogo nimeipenda (angalia picha chini) ipo AliExpress nataka kuagiza.
Naomba kujua ikishafika Tanzania naenda kuipokelea wapi. Kwa wale waliowahi kununua bidhaa AliExpress naomba msaada.View attachment 1629653
mkuu zip code hua inajazwaje etUtaipokelea POSTA na huenda ikapitishwa CUSTOM ili kulipa ushuru na kozi ya ongezeko la thamani. Vile vile Posta wanachaji gharama ya kukupokelea huo mzigo TZS 5,900. Nimesema "huenda" maana kama thamani ya kifurushi ni ndogo hawapeleke "Customs"
Zip kodi kwa Tanzania ni 255mkuu zip code hua inajazwaje et
na vipi kama huna sanduku la posta inakuaje nisaidie mkuu nataka kuagiza simu hukoZip kodi kwa Tanzania ni 255
Kama huna sanduku la Posta usiagize kabisa. Ile notification ya kupokelea mzigo huwekwa kwenye box lako.na vipi kama huna sanduku la posta inakuaje nisaidie mkuu nataka kuagiza simu huko
ok asante boss kwa ushauri kidogo ningeingia mkenge.Kama huna sanduku la Posta usiagize kabisa. Ile notification ya kupokelea mzigo huwekwa kwenye box lako.