Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,704
- 2,351
Habari wakuu. Kijana wangu anaandika mtihani wa darasa la saba wiki ijayo.
Najaribu kutafuta na kulinganisha shule za sekondari kwa ajili yake. Anapenda sana masomo ya sayansi, hasa kwa vitendo, hivo ningependa shule ambayo wana ubunifu wa sayansi, hasa clubs hai za ushindani na walimu wenye uwezo bila kusahau maabara zenye vifaa.
Ada isizidi milioni 4 kwa mwaka. Natumaini jukwaa hili lina watu wengi wenye uelewa huo naweza kusaidika.
Natanguliza shukrani.
NB: Shule iwe ya bweni, ni mvulana
Najaribu kutafuta na kulinganisha shule za sekondari kwa ajili yake. Anapenda sana masomo ya sayansi, hasa kwa vitendo, hivo ningependa shule ambayo wana ubunifu wa sayansi, hasa clubs hai za ushindani na walimu wenye uwezo bila kusahau maabara zenye vifaa.
Ada isizidi milioni 4 kwa mwaka. Natumaini jukwaa hili lina watu wengi wenye uelewa huo naweza kusaidika.
Natanguliza shukrani.
NB: Shule iwe ya bweni, ni mvulana