Msaada: Natafuta program ya computer ya kufanya mauzo supermarket

Msaada: Natafuta program ya computer ya kufanya mauzo supermarket

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,354
Salamu wanabodi

Kwa anayeuza, au anayefahamu wanaouza hizi program naomba msaada wake.

Pamoja na hiyo pia natafuta ile mashine ya kuscan bacord.

Asanteni
 
Salamu wanabodi

Kwa anayeuza, au anayefahamu wanaouza hizi program naomba msaada wake.

Pamoja na hiyo pia natafuta ile mashine ya kuscan bacord.

Asanteni
Hiyo program inaitwa Point Of Sales(POS). unaweza nipigia kwanza tujue operation zako mfano kama una stock, manunuzi nk. Halafu Nitakushauri POS ya bei nafuu
 
Hiyo program inaitwa Point Of Sales(POS). unaweza nipigia kwanza tujue operation zako mfano kama una stock, manunuzi nk. Halafu Nitakushauri POS ya bei nafuu
Namba yangu:0713-039875
 
Nashukuru kwa response wakuu... nitawapigia wote
 
Back
Top Bottom