Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

husemi Budget yako shauri ako watu wote humu wanaishi mbele perfume utazotajiwa na uhakika hutonunua hata 1..mi nakushauri kiroho safi kanunue kikopo cha mafuta ya Skala kimeandikwa Pefumed petroleum Jelly dukan kwa mangi kinauzwa 500(jero) ila hata 400 anachukua...harufu yake ukipaka Huku mbezi beach mtu wa tandale anaskia.. Sema ndo ivyo inanukia ki beki tatu..Ila we si unataka kunukia Chomoka na hiyo...Mi mwenzako napambana na hali yangu.
Uturi wa Manara umeonyesha kukidhi haja ya wanuka vikwapa
 
Kiwango changu mwisho 20k.
Kanunue blue for men 18k, Active man 13k single au double inakua na body spray yake ni 15k.

Au kuna hizo brand za paris huko ulizotajiwa zipo wanaouza za kupima, unapata kwa 30k mpaka 40k zinakua in 40mls unanukia mpaka wiki ijayo. Kuna hizo hizo brand ulizotajiwa unapata copy za dubai (mini crystals) in 25ml kwa 15k mpaka 25k. Bei inategemea unaponunulia.
 
Wanyama wameubwa kwa asili ya kutambuana kwa harufu zao asili.

1. Mwili hutoa arufu tofauti kama za mvuto wa kimapenzi kwa wote mwanamke na mwanaume kuna haruru ambayo kiasili ukiisikia inasisimua vichocheo vya mwili wako kwenye mapenzi

2. Kuna harufu ambazo mwili hutoa mtu anapokuwa na hasira na hivyo kama mtaalamu ukiisikiatuu hata kama muhusika anaziga anacheka waweza kujua kuwa ndani ya mwili anakaribia kupasuka hivyo ukae naye mbali

3. Kuna harufu zinatoka zikimaanisha ishara ya maginjwa mbalimbali , hivyo kwa tabibu mtaalamu anaweza kukunusa na kujua aina halisi ya uginjwa mgonjwa anaoumwa hata kama mgojwa mwenyewe hajui wala hawezi kujua ni kiungo gani katika mwili kinaumwa.

4. Marashi ,manukato, Perfume zimetengenezwa kwa ajili ya MAITI mbayo tayari mifumo ya arufu ya asili imeisha na sasa anaanza kuoza kwa kushambuliwa na bakteria hivyo harufu hizo kali hutumika kwa muda wakati wa kumuaga isiwe kero kwa wanaomuaga

5. Sasa wewe jitu zima kabisa tena sa nyingine dume kabisa umejitundika marashi ya harufu kali kuliko ya maiti tena unaingia sehemu za uma kama kwenye usafiri ama mikusanyiko na kutawala hali ya hewa na maarufu yako ya kero umekuwa maiti?

6. Unatakiwa uwe msafi tuu na kujipaka mafuta ya kawaida yasio na harufu kali ili kuupa mwili uwezo wake wa kutoa mawasiliano ya kibaolojia ya harufu.
Pambana na hali yako
 
Kuna mafogo wana mipesa humu!

Pafyumu laki saba mtaji wa genge langu!

Astaghafirulah!
 
Kama ni mwanamke nakushauri Dolice&Gabbana blue intense .Kama mwanaume basi Blue de Chanel.
Screenshot_20190808_140725.jpg
Niliifumania duka moja New York City toka iishe sijapata originally kama ile..
 
Naomba uwe mshauri wangu
Kanunue blue for men 18k, Active man 13k single au double inakua na body spray yake ni 15k.

Au kuna hizo brand za paris huko ulizotajiwa zipo wanaouza za kupima, unapata kwa 30k mpaka 40k zinakua in 40mls unanukia mpaka wiki ijayo. Kuna hizo hizo brand ulizotajiwa unapata copy za dubai (mini crystals) in 25ml kwa 15k mpaka 25k. Bei inategemea unaponunulia.
Nitajie moja tu unayo ikubali wewe nikainunue.
 
Naomba uwe mshauri wangu Nitajie moja tu unayo ikubali wewe nikainunue.
Hahaha naweza nisiwe mshauri mzuri. Best way ya kununua perfume ni kwenda dukani. Nusa nusa mpaka upoteze muelekeo. Baada ya kupoteza muelekeo chukua yoyote katika ulizonusa nusa. Ikiisha hiyo kanunue nyingine sio ile ya mara ya kwanza, fanya hivo kama mara tatu au nne. Katika hizo nne ulizotumia tofauti utapata ambayo kwako ni best.

Na mimi sina signature perfume. Napenda kununua sana za kupima kwahiyo naenda nanusa nusa baada ya kupoteza muelekeo nachukua yoyote.
Ila black opium naipenda zaidi. And I think ni unisex anaeza akatumia yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom