Asante sana Over!!Nenda feri kigamboni pale tanganyika swimming club kuna duka la lina mazagazaga hayo,kama wakishuwa nenda sleep way kuna duka pia wanauza vifaa vya kuogelea
Ova
Asante sana comradeNenda mlimani city kwenye hizo supermarket huwezi kosa,nadhani the game wanayo hiyo miwani.
Mtafute pushaWapi nitapata kiberiti?
Watafute hao jamaa niliziona kwenye page yao ya instagramHello guys, kuna yeyote mwenye taarifa yeyote juu ya sehemu naweza pata miwani ya kuogelea mtu mzima kwa hapa Dar.
Asante ovaNenda feri kigamboni pale tanganyika swimming club kuna duka la lina mazagazaga hayo,kama wakishuwa nenda sleep way kuna duka pia wanauza vifaa vya kuogelea
Ova
Asante sana mkuuWatafute hao jamaa niliziona kwenye page yao ya instagramView attachment 1889055
Tanganyika swimming club bado ipo? Nilienda pale miaka ya 90Nenda feri kigamboni pale tanganyika swimming club kuna duka la lina mazagazaga hayo,kama wakishuwa nenda sleep way kuna duka pia wanauza vifaa vya kuogelea
Ova