Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,703
- 5,477
Inasemekana miwani hii inauwezo wa kunusa hatari yeyote na kisha kumpa taarifa, wajuzi wa mambo kuna ukweli wowote hapa? 😃
Mnywe na alikasus pumbaf zenyu😂ngoja hii kamba nikaeafunge wahuni baadae kijiweni tukishashiba wali
Hata kama ana hela hawezi nunua miwani kwa 700 millions kwa hekima aliyo nayo huyo mzee. Inaweza kuwa laki 7 ila sio million 700Inasemekana miwani hii inauwezo wa kunusa hatari yeyote na kisha kumpa taarifa, wajuzi wa mambo kuna ukweli wowote hapa? 😃
View attachment 2922173
AmenHata iwe ya 70B naye atapita tu kila kitu ni ubatili
Bob Marley alikazia.... ".. Money can not buy life".Hata iwe ya 70B naye atapita tu kila kitu ni ubatili
😀😀 mujarrab muhimu mkuuMnywe na alikasus pumbaf zenyu😂