Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,387
- 3,158
Kwa anae uza mashine ya kutengenezea pipi au anae jua wapi nitapata mashine ya kutengenezea pipi. Funguka please. With much thanks in advance
Ndio mkuuPipi ya kijiti au?
Funguka mkuuFursa hiii....wachina wanapiga pesaaa sanaaa.. Sisi sijuiii tumerogwaaaaa