casagrande
Member
- Jun 21, 2016
- 42
- 32
Habari wadau jamani naombeni msaada natafuta chumba na sebule ,choo chake na jiko.maeneo mazuri ukanda wa old bagamoyo road au new bagamoyo road bajeti yangu laki 2 naweza kuanza kwa kodi ya miezi 3 madalali wananiumiz anisaidieni wapendwa.