MSAADA: Nashindwa kupakuwa App yoyote Play Store

MSAADA: Nashindwa kupakuwa App yoyote Play Store

Alexander McQueen

Senior Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
186
Reaction score
41
Msaada tafadhari simu yangu ni zaidi ya wiki imegema kudownlod application yeyote play store na storage bado kubwa
 
Msaada tafadhari simu yangu ni zaidi ya wiki imegema kudownlod application yeyote play store na storage bado kubwa
Umeandika kifupi kweli kweli.

Angalau taja aina ya simu.

Error unayopata.

Kama sehemu zingine zinazohitaji network ziko fresh.
 
Inafunguka inakataa kudownlod
ingia playstore gusa ile hamburger menu juu kushoto kisha nenda my apps and games angalia hakuna app ambayo ipo pending kudownload? kama ipo jaribu kui cancel.

alternative anza na kuclear cahce za playstore pamoja na play service, njia rahisi hold icon ya playstore sekunde kadhaa kisha chagua app info ama kialama cha mshangao, click storage halafu clear cache.
 
Hilo tatizo lilinisumbua sana kwenye simu yangu... nilichokifanya ni ku clear data kwenye apps za Download, play service na play store. Clear mpaka update zake then njoo na mrejesho.
 
Hata jamaa yangu itel p12 yake version 6.0 iñagoma kudownload hatujui shida nn
 
Nenda settings alafu apps, fungua playstore app kisha storage. Clear cache and data.

Rudi kwa playstore itaweza endelea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom