Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,015
Chanzo huwa nini mamii nawe umesema uliupata.Siyo bawasili
Chanzo huwa nini mamii nawe umesema uliupata.Siyo bawasili
Umegundua kama sio bawasili hutaki kuzungumzia kwanini , sema ili watu wajiepushe nao, tupo hapa kujifunza soteSijisikii kulizungumzia hili mkuu.
Ebu tungoje kusikia kutoka kwa mleta mada.
Ndiyo hata wakina baba wanapata bawasili naelewaNa kina baba pia
Mkuu, sio siku zote zinafanana.Umegundua kama sio bawasili hutaki kuzungumzia kwanini , sema ili watu wajiepushe nao, tupo hapa kujifunza sote
Sana kule Home tumebarikiwa mnoohYeah..na kule tumebarikiwa dawa nyingi hatari
Acha tuSanaaaaah kule Home tumebarikiwa mnooh
Hapana sio bawasiri, huyu anasumbuliwa na na chango ya uzazi, dawa yake n mitishamba iitwayo mvumbazi (kiswahili), ndo inatibu tatzo hilo,Hiyo ni Bawasili
SanaaaahAcha tu
Asante ngoja nikatafuteKama unatokea mipango, na unarudi mnada wa zamani. Ukifika kituo cha police maili mbili, kata kushoto kama unaelekea makaburi ta wahanga....
Ukifika maeneo hayo kwenye majani, utaona kitu kinacho fanana na huu mijani wa mvumbazi.View attachment 1506271
Siyo bawasiri Mimi Sina kinyama Bali napata maumivu chini ya kitovu yanazunguka Hadi njia ya haja kubwa Kama vile mtu ananikata na kisuDuu. Pole sna mama kapime hospital isije kuwa bawasiri.
Kwani dada@sky eclat yeye anasemaje
Kapime kwanza tujue nini tatizoSiyo bawasiri Mimi Sina kinyama Bali napata maumivu chini ya kitovu yanazunguka Hadi njia ya haja kubwa Kama vile mtu ananikata na kisu
Kumbe nawe unatakiwa uzae tena?Week mbili zilizopita nilikuwa na tatizo Kama lako..kuuliza wakubwa nikaambiwa ni chango..ila niliambiwa ninywe mvumbazi dume ..nikautumia huo Sasa hivi nipo vizuri .
Doh!!Kumbe nawe unatakiwa uzae tena?
Dawa ya mchangoDoh!!
pole inaonekana vijana wa R-chuga huwa unawapa jicho kulichezea, ila maumivi yakizidi umuone doktaHabari zenu poleni na majukumu,
Jamani na shida naombeni ushauri wenu kwa anayejua napata maumivu makali tumbo linanikata sana chini ya kitovu maumivu yanazungua Hadi kwenye njia ya haja kubwa napata vichomi Kama vile naingiziwa kisu hali hii ikinitokea nashindwa kutembea Wala kujigeuza inabidi nitulie maana nikijitikisa maumivu yanazidi kuwa makali...