Wakuu habari ya muda, anayejua hospitali nzuri ambayo kuna vipimo bora vya mtu mwenye uvimbe kwenye shingo au Daktari mzuri apa dar es salaam ambaye anahusiana na vimbe katika mwili mfano shingoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.