'Mboga ya majani penye mapendano Ni Bora kuliko ng'ombe mzima alienona penye magomvi'Habarini za humu wanajf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi,katika harakat zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata,ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu,ila naogopa na ninawasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.Msaada wadau on how to go about it,hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Boss mapungufu kila mtu anayo
Watu tuliajiriwa vitu hatuvielewi tukaenda kujulia mbele ya safari mzee
Cha msingi ni usiwe mzembe tu
Labda uwe mmbovu sana ndo utaachishwa kazi ila vitu vidogo vidogo ni vya kueleweka
Ukibakia hapo kwnye huo mshahara kuna siku kitatokea kitu utajilaumu mara nyingi sana kwanini hukuhama
Bora uende ijulikane ilikuaje kuliko ukae kwa woga na mtu mwenyewe una expiriensi
Unahitaji ku grow na katika suala la kukua katika career lazima ukutane na changamoto mpya. Hayo mapungufu uliyonayo ilimradi umeshayajua utaweza kuyatatua.Sawa ila nafasi zinapatikana so naumia kuziacha
Usijitese sana ndugu yangu..haya maisha tunapita..si umeona wanaume wanaisha tu na kuwaacha akina mama/wake zao tu.Kuna kazi nilikuwa nafanya awali nilikuwa naingia Kazini saa 2 asubuhi kutoka saa 10 Jioni. Mshahara kiduchu
Kuna kazi niliipata niliyotakiwa kuingia Kazini saa 1 asubuhi, kutoka saa 11 Jioni plus kuwekewa malengo na boss, Kila baada ya miezi 3 unatoa report na kufanyiwa tathmini, but mshahara ulikuwa almost mara 3 ya ule wa awali.
Nilichofanya ni kuji-twist kuendana nayo. Huwa najisemea, kama Kulala nitalala nikishafika miaka 60 huko nikistaafu.
Wakati huu wa Ujana ndiyo muda wa kujitesa ili kuhakikisha Tukizeeka hatuwasumbui watoto/ndugu kuombaomba hela za matumizi
Kama hautoweza kuendana na hiyo fursa Bora uachane nayo ukomae na hapo hapo unapopamudu manake mtaka yote hukosa yoteSo kama fursa imetokea tuiache?
Kwanza nikupongeze kwa kufanikiwa kupata ajira mpya, jitahidi sana kujikubali wewe ulivyo usiwe unajilinganisha na mfanyakazi yeyote ktk utendaji wako, mtangulize Mungu mbele siku zote, thubutu jisemeshe wewe unaweza na utaifanya hiyo kazi iliyopo mbele yako maana ukijiogopa hivyo basi mambo yako binafsi hutajiwekea malengo yoyote hata ungalipata kiasi gani cha fedha.Habarini za humu wanajf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi,katika harakat zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata,ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu,ila naogopa na ninawasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.Msaada wadau on how to go about it,hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Kwahiyo bado anataka afuliwe,apasiwe,aamshwe!? ๐ ๐ ๐Watoto wa siku hizi mnadekaaa
Eti bhanaJiamini unaweza katika kila ufanyalo. Hiyo hali ni mwanzo tu kama wapo wanaofanya wewe itakushindaje?
SafiKwanza nikupongeze kwa kufanikiwa kupata ajira mpya, jitahidi sana kujikubali wewe ulivyo usiwe unajilinganisha na mfanyakazi yeyote ktk utendaji wako, mtangulize Mungu mbele siku zote, thubutu jisemeshe wewe unaweza na utaifanya hiyo kazi iliyopo mbele yako maana ukijiogopa hivyo basi mambo yako binafsi hutajiwekea malengo yoyote hata ungalipata kiasi gani cha fedha.
Kaa ulipo tu , kama ulipo ushajikita, pambana hapo .
Kuna dogo nilimtafutia kazi kwa showroom ya magari msahara +bonus alikuwa 1.2M hakosi kwa mwezi . Mazda na Honda wakaja wakitafuta wauzaji waliokomaa so wakamshawishi na 1.8M mshahara. Jamaa akajump ship kuendea hela , mwaka haukuisha akafutwa kazi na kubaki bila kitu . Pale alipokuwa zamani bado panaendelea mpaka leo . Be keen usipoteze vyote
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umesema sahihi MkuuUsijitese sana ndugu yangu..haya maisha tunapita..si umeona wanaume wanaisha tu na kuwaacha akina mama/wake zao tu.
Stress take your time ku enjoy ili mradi haumkosei muumba wako.
mimi bhana ni mara 100 niwekeze effort kubwa sana kwenye kazi zangu kuliko kumtajirisha mtu..
Mtu unamwingizia millions of money kwa mwezi mtu akipewa 1M per month anaona katoboa.
Nakuelewa sana mkuuHabarini za humu wanajf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi,katika harakat zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata,ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu,ila naogopa na ninawasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.Msaada wadau on how to go about it,hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Endelea na kazi yako ya awali kama hujiamini na kama kuna probation miezi 9 ni hatari kwamba utakosa kazi zote na itakuwa majuto!Habarini za humu wanajf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi,katika harakat zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata,ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu,ila naogopa na ninawasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.Msaada wadau on how to go about it,hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Hii kutongoza....imenikumbusha jamaa kashauriwa kumtongoza boss wake( mkurugenzi).... jamaa kweli baada ya kupambwa na wenzie akajitosa...kampa mama maneno....mama kaona duuh! Kijana pengine ana malaria kichwani...akamshauri rudi nyumbani kapumzike....wenzie wakazidi kumtia kichwa...ati mama keshakuelewa...wee nenda Katie kinywaji halafu mfuate nyumbani kwake........Kijana
Jitose kwenye kazi
Fanya kama kutongoza tu๐๐
Hujui kitakachotokea ila unatongoza
Unaweza pigwa kibao ila we unatongoza
Unaweza ukatukanwa tusi zito ila we unatongoza
Unaweza hata ukachaniwa shati ila wewe UNATONGOZA
Ila pia unaweza ukashangaa slope hii hapa mtoto akakubali hadi ukawa unajiuliza ulikua wapi siku zote hizo๐๐๐
Natumai utaenda kwenye hio kazi mpya
Hela hazionewi aibu mkuu