Msaada namna ya kutengeneza mtandao wa kijamii

Msaada namna ya kutengeneza mtandao wa kijamii

Naombeni mnipe utaalamu na njia za kutengeneza mtandao wa kijamii kama facebook, JF n.k
Nataka nishushe bonge moja la website. Nina idea ila siwaambii, naombeni tuu mnipe steps ili ipatikane katika web na playstore, window store n.k
Ziko nyingi, ila kama una nia kweli basi lazima ujue languages mbali mbali zitazo kusaidia kutengeneza!! kama hujui unaweza tafuta watu ukawalipa wakakutengenezea...japo ziko njia za shortcut ila sikushauri sana!! tafuta mtaalamu au ujifunze kama una muda!!
 
Ziko nyingi, ila kama una nia kweli basi lazima ujue languages mbali mbali zitazo kusaidia kutengeneza!! kama hujui unaweza tafuta watu ukawalipa wakakutengenezea...japo ziko njia za shortcut ila sikushauri sana!! tafuta mtaalamu au ujifunze kama una muda!!
nashukuru
 
Hujui kitu bado inaonesha unataka kujua kila kitu jf jaman Kuna vyuo nenda kaka
Ndio maana sishangai kwanini tanzania iko kumi za nchi maskini duniani!!!

Mzungu atakusaidia pale utakapo kosea kutamka maneno ya lugha yao (utakapoongea broken), ila mbongo anayejifanya anajua kila kitu atakucheka na kukuona hujui kitu...hio ndio tofauti yetu na wenzetu!!
 
Kama unahitaji mtandao wa kijamii ni pm
 
Naombeni mnipe utaalamu na njia za kutengeneza mtandao wa kijamii kama facebook, JF n.k
Nataka nishushe bonge moja la website. Nina idea ila siwaambii, naombeni tuu mnipe steps ili ipatikane katika web na playstore, window store n.k
Greatness take a time, JF or Fb hazikujengwa kwa siku moja,
Kama unataka kufanya mwenyewe jifunze programming languages.
Kama unataka just kuwa nayo tu then invest.
https://www.jamiiforums.com/threads/muongozo-programming-language.784826/
 
NATAKA NIJIFUNZE KUTEGENEZA
Hey
Website Kama jamiiforums mf; inatumia VBulletin Software, zippo softwares nyingi tu open source na non Open source.
Open Source ni Kama vile. MyBB, phBB, PunBB, Phorum, Vanilla n.k
Non open source ni Kama vile VBulletin, Xenforo, woltlab IP.Board n.k
Sasa hizo zote Kutumia bila knowledge ya programming ni ngumu, tatizo Watu hupenda kukwepa majukumu. Soma programming or invest kwa Wenye ujuzi.
 
Soma ujue msingi wa programming language kama html, php na pengine JavaScript ndio uje kwenye hizi software, pia soma css
 
mtoa mada anafikiri kutengeneza social webisite ni kama kufugua blog

nenda shule ingekua rahisi sote tungalikua nazo

mbali na kua na elimu pia uwe na budget uwe na pesa ya kuwezesha inakua hewani

unafikiri kuwa na watu milion mtandaon kwataka elf kumi

jipange kwanza mkuu usikurupuke
 
Back
Top Bottom