kalooo JF-Expert Member Jun 14, 2016 270 154 Jan 5, 2020 #1 Habari wanajamiiforum nisaidieni namna ya kupata nafasi ya kushiriki midahalo ya malumbano ya Hoja Itv live ,ni taratibu zipi zifuatwe . Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajamiiforum nisaidieni namna ya kupata nafasi ya kushiriki midahalo ya malumbano ya Hoja Itv live ,ni taratibu zipi zifuatwe . Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Jan 5, 2020 #3 Umewahi kushiriki midahalo mingapi na mafanikio yako yalikuwaje?
kalooo JF-Expert Member Jun 14, 2016 270 154 Jan 5, 2020 Thread starter #4 Mbao za Mawe said: Umewahi kushiriki midahalo mingapi na mafanikio yako yalikuwaje? Click to expand... IPO ila syo ya malumbano ya Hoja naipenda kama vipi nipe Raman Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe said: Umewahi kushiriki midahalo mingapi na mafanikio yako yalikuwaje? Click to expand... IPO ila syo ya malumbano ya Hoja naipenda kama vipi nipe Raman Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Jan 5, 2020 #5 kalooo said: IPO ila syo ya malumbano ya Hoja naipenda kama vipi nipe Raman Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Midahalo ipi unapenda kufanya. Siasa, michezo, burudani, uchumi, masuala ya usalama, mazingira au.
kalooo said: IPO ila syo ya malumbano ya Hoja naipenda kama vipi nipe Raman Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Midahalo ipi unapenda kufanya. Siasa, michezo, burudani, uchumi, masuala ya usalama, mazingira au.
kalooo JF-Expert Member Jun 14, 2016 270 154 Jan 5, 2020 Thread starter #6 Mbao za Mawe said: Midahalo ipi unapenda kufanya. Siasa, michezo, burudani, uchumi, masuala ya usalama, mazingira au. Click to expand... Yote hayo mkuu napenda kujadili live Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe said: Midahalo ipi unapenda kufanya. Siasa, michezo, burudani, uchumi, masuala ya usalama, mazingira au. Click to expand... Yote hayo mkuu napenda kujadili live Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Jan 5, 2020 #7 kalooo said: Yote hayo mkuu napenda kujadili live Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sawa subiri.
kalooo said: Yote hayo mkuu napenda kujadili live Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sawa subiri.
kalooo JF-Expert Member Jun 14, 2016 270 154 Jan 5, 2020 Thread starter #8 Mbao za Mawe said: Sawa subiri. Click to expand... Nisubili utanipa jibu au ndo wadau watakaochangia niwasubil Niko siriaz sana na hili. Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe said: Sawa subiri. Click to expand... Nisubili utanipa jibu au ndo wadau watakaochangia niwasubil Niko siriaz sana na hili. Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Jan 5, 2020 #9 kalooo said: Nisubili utanipa jibu au ndo wadau watakaochangia niwasubil Niko siriaz sana na hili. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unapenda usibiri kipi kati yangu na wadau?
kalooo said: Nisubili utanipa jibu au ndo wadau watakaochangia niwasubil Niko siriaz sana na hili. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unapenda usibiri kipi kati yangu na wadau?
rich1 JF-Expert Member Jul 31, 2015 2,967 3,189 Jan 5, 2020 #10 ITV uwawanatoaga namba zao kama unataka kushiriki kwenye kipindi nawanawesema uwahi kufika kabla ya kipindi kuanza Mara nyingi huwa n kila alhamisi mda SAA tatu nasi usiku,,,,,pia waweza kumcheki Sunday temba. Sent using Jamii Forums mobile app
ITV uwawanatoaga namba zao kama unataka kushiriki kwenye kipindi nawanawesema uwahi kufika kabla ya kipindi kuanza Mara nyingi huwa n kila alhamisi mda SAA tatu nasi usiku,,,,,pia waweza kumcheki Sunday temba. Sent using Jamii Forums mobile app