Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,134
- 664
Naombeni msaada wa kujua namna ntakavyoweza kupata cheti cha kuthibitisha kifo.Nina rafiki yangu ambaye alifiwa na mzazi wake(baba),na anahtaji kuomba mikopo (Loan board) na ametakiwa kuambatisha cheti hicho kuthibitisha kuwa anaisha na mzazi mmoja(mama pekee).
Je,taratibu za kupata ni zipi? Ikiwemo viambatanisho vinavyohtajika.
Natanguliza shukrani!
Je,taratibu za kupata ni zipi? Ikiwemo viambatanisho vinavyohtajika.
Natanguliza shukrani!