MSAADA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION UPYA

MSAADA NAMNA YA KUBADILI COMBINATION UPYA

Albizo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
284
Reaction score
208
Wakuu habarini? Naombeni msaada kwa mwenye kujua namna ya kujaza combination na kuchagua shule upya kwa waliomaliza form four last year 2018 kama alivyotangaza Waziri Jaffo.
 
ingia selform.tamisemi.og.tz af unakua kama unajaza form upya
 
Jamani msaada wenu kuna mdogo wangu akijaribu kuregister mfumo unamwandikia huu ujumbe" You are already registered! Please, use the login page to enter into your account " ambapo yeye bado hajajiregister bado,msaada wenu Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani msaada wenu kuna mdogo wangu akijaribu kuregister mfumo unamwandikia huu ujumbe" You are already registered! Please, use the login page to enter into your account " ambapo yeye bado hajajiregister bado,msaada wenu Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ulifanikiwa kutatua hii shida, maana mi mwenye kuna dogo kaja ni msaadie ila nimekutana na hili tatizo na sijui namna ya kufanya na ukizingatia deadline ni 15 /4/2019
 
Kwenye technical college, courses hazifunguki. Nini tatizo, msaada wanakwetu

SUKAH...
 
Kwenye technical college, courses hazifunguki. Nini tatizo, msaada wanakwetu

SUKAH...
Mkuu ukiona hazifunguki ujue huna sifa ya fani husika.... Angalia sehemu ya "Eligibility " kujua sehemu unto qualify
 
Mkuu ukiona hazifunguki ujue huna sifa ya fani husika.... Angalia sehemu ya "Eligibility " kujua sehemu unto qualify
Kuna vijana nlikuwa nawajazia, wana vi D na vi C, nkajua wametusua bhana.
Shukran sana mkuu.
 
Back
Top Bottom