Mimi nahitaji fanya locally sijawaha na mtaji wa kufanya officialUnahitaji kufanya official au kimtaa mtaa ?
Je unao mtaji kiasi gani ili ijulikane kwa mtaji wako unaweza kufanya officially au locally?
Uko wapi? Unataka iwe kausha damu au ya kistaarabuMimi nahitaji fanya locally sijawaha na mtaji wa kufanya official
Hapa karume mchikichin kuna kausha damu na kata weitUko wapi? Unataka iwe kausha damu au ya kistaarabu
Unataka ya kushikilia dhamana au unatakaje i have ka experience nayo kamaa una roho ndogo jikaze
Hapa karume mchikichin kuna kausha damu na kata weit
Hao jamaa wanakopesha mpaka mkopo wa ndani ya masaa nane
Biashara za kukopesha kienyej lazima uwe mshirikinaNdo maana nimemuuliza yeye anataka afanye ipi aseme apewe nondo
Milioni 10 huwezi kupewa kibali, minimum uwe na milioni 20 imelala kwenye account! Na uelezee umeipata vipiUnaona mbali...
Hii biashara haihitaji mtaji mkubwa, ukiwa na Million 10 inatosha kabisa, katafute kibali.
Upande wa ofisini (Kabla ya mkopo)
Uwe na wadada wazuri mapokezi,kiyoyozi na makochi ya wateja usisahau ki-laptop kibovu cha kuzugia pale unasubiri wateja.
Upande wa nje ya ofisi.
Hakikisha una mabaunsa,wamama wenye roho mbaya pia na backup ya Sungusungu wa hapo mtaani unapolenga kuanza biashara pamoja na polisi.
Kuanza biashara,
Bandika matangazo hadi kwenye makanisa huko na umtafute mchapaji wa matangazo mbunifu wa maneno matamu yanayompendelea mkopaji.
Milion 10 hapati kibali labda agushi bank statementsUnaona mbali...
Hii biashara haihitaji mtaji mkubwa, ukiwa na Million 10 inatosha kabisa, katafute kibali.
Upande wa ofisini (Kabla ya mkopo)
Uwe na wadada wazuri mapokezi,kiyoyozi na makochi ya wateja usisahau ki-laptop kibovu cha kuzugia pale unasubiri wateja.
Upande wa nje ya ofisi.
Hakikisha una mabaunsa,wamama wenye roho mbaya pia na backup ya Sungusungu wa hapo mtaani unapolenga kuanza biashara pamoja na polisi.
Kuanza biashara,
Bandika matangazo hadi kwenye makanisa huko na umtafute mchapaji wa matangazo mbunifu wa maneno matamu yanayompendelea mkopaji.
HahahahaahahahahahahUnaona mbali...
Hii biashara haihitaji mtaji mkubwa, ukiwa na Million 10 inatosha kabisa, katafute kibali.
Upande wa ofisini (Kabla ya mkopo)
Uwe na wadada wazuri mapokezi,kiyoyozi na makochi ya wateja usisahau ki-laptop kibovu cha kuzugia pale unasubiri wateja.
Upande wa nje ya ofisi.
Hakikisha una mabaunsa,wamama wenye roho mbaya pia na backup ya Sungusungu wa hapo mtaani unapolenga kuanza biashara pamoja na polisi.
Kuanza biashara,
Bandika matangazo hadi kwenye makanisa huko na umtafute mchapaji wa matangazo mbunifu wa maneno matamu yanayompendelea mkopaji.