Nyavinene
Senior Member
- Jul 28, 2020
- 164
- 173
Wakuu habari zenu,
Kama mnavojua watu hatuwezi kutegemea kuuza Mayai ya bundi pekee hivyo tunafanya kazi na mitandaoni . Sasa nimefanya survey katika mtandao wa Afrisight mpaka kufikisha zaidi ya 10 dollars. Kasheshe inakuja katika kufanya withdrawing sijui nifanyeje.
Mwenye uwelewa naomba anipe elimu.
Kama mnavojua watu hatuwezi kutegemea kuuza Mayai ya bundi pekee hivyo tunafanya kazi na mitandaoni . Sasa nimefanya survey katika mtandao wa Afrisight mpaka kufikisha zaidi ya 10 dollars. Kasheshe inakuja katika kufanya withdrawing sijui nifanyeje.
Mwenye uwelewa naomba anipe elimu.