evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,180
Wakuu,
Husika na kichwa tajwa hapo juu
Nimekuwa ''nikiinjoi'' hii wasap isiyo halali kwa muda kidogo, lakini tatizo hunishinda kwenye kui-upadate yaani nikijaribu nashindwa kabisa Mara matangazo mengi mwishoni hunipoteza kabisa.
Nimekuwa nikiifuta na kuipakua upya kama mbadala wa kui-upadate lakini napoteza vitu Vingi kwa njia hiyo, hivyo naomben msaada kwenu.
Nawasilisha evonik
Husika na kichwa tajwa hapo juu
Nimekuwa ''nikiinjoi'' hii wasap isiyo halali kwa muda kidogo, lakini tatizo hunishinda kwenye kui-upadate yaani nikijaribu nashindwa kabisa Mara matangazo mengi mwishoni hunipoteza kabisa.
Nimekuwa nikiifuta na kuipakua upya kama mbadala wa kui-upadate lakini napoteza vitu Vingi kwa njia hiyo, hivyo naomben msaada kwenu.
Nawasilisha evonik