Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,748
Natumai mu vyema wakuu!
Husika na heading hapo juu ni Jinsi Gani mtu unaeza ukajicontrol usiwe [HASHTAG]#Talkative[/HASHTAG] saana maana hiyo inachangia adi kusema mengine ambayo hukutaka kuyasema na baada ya hapo unaeza jikuta uko uncomfortable kwa kusema kitu usichokuwa umepangilia kusema!
Tusaidiane maana nami nipo ivo so nataka nijirekebishe mapema maana naona huu ndo wakati mwafaka sababu nimeanza kuaminiwa na wengi!
Naamini pia kuna wengine kama mimi wenye shida kama huenda wakasaidika na huu uzi
wazungu wanasema IF YOU ARE GOOD SECRET KEEPER THEN WAIT TO COUNT YOUR BLESSINGS!
Husika na heading hapo juu ni Jinsi Gani mtu unaeza ukajicontrol usiwe [HASHTAG]#Talkative[/HASHTAG] saana maana hiyo inachangia adi kusema mengine ambayo hukutaka kuyasema na baada ya hapo unaeza jikuta uko uncomfortable kwa kusema kitu usichokuwa umepangilia kusema!
Tusaidiane maana nami nipo ivo so nataka nijirekebishe mapema maana naona huu ndo wakati mwafaka sababu nimeanza kuaminiwa na wengi!
Naamini pia kuna wengine kama mimi wenye shida kama huenda wakasaidika na huu uzi
wazungu wanasema IF YOU ARE GOOD SECRET KEEPER THEN WAIT TO COUNT YOUR BLESSINGS!